IRELAND YAWADHAMINI WATANZANIA 14 KWA SHAHADA YA UZAMILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydSnOQi3wvk/VdSJlkdrTZI/AAAAAAAAJJA/E8U3UH2NU_g/s72-c/Fionnuala%2BGilsenan.jpg)
Balozi wa Ireland nchini Tanzania, Bi. Fionnuala Gilsenan, akitoa hotuba yake wakati wa maonyesho ya sayansi kwa wanafunzi wa sekondari yanayoandaliwa na shirika la YST ambayo pia Ubalozi wake unadhamini kila mwaka.
Na Daniel Mbega
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QuUqabAvhR8/VdYm_ijXcmI/AAAAAAAAJLc/aOixyErQzi8/s72-c/b.jpg)
IRELAND YAWAKABIDHI SCHOLARSHIP WATANZANIA 14 KUSOMEA SHAHADA YA UZAMILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-QuUqabAvhR8/VdYm_ijXcmI/AAAAAAAAJLc/aOixyErQzi8/s640/b.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xpk8pmHYSL0/VdYm-5H2anI/AAAAAAAAJLU/oogLmrUzrk0/s640/a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zyO72yzaX-s/VdYnAA9_DYI/AAAAAAAAJLg/08mm3oWcOZA/s640/c.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6ENhtUdW6VE/VdYnAshIQjI/AAAAAAAAJLk/j4I_yJPHXTg/s640/d.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s72-c/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
Watanzania wahitimu shahada ya uzamili kutoka taasisi ya kimataifa international institute of social studies ya chuo kikuu cha Erasmus cha nchini uholanzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-T-gPmz9DMsI/VnG4vzMBmNI/AAAAAAAIM60/D2ffte-FlNc/s640/ef9718f3-1235-456c-aec1-1a0620f9f677.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZAKwFZCEa9o/U_8C2qEQnLI/AAAAAAAGKLM/3C6ya1ZfU_Y/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
BG Tanzania yawadhamini wanafunzi kumi kupata elimu ya juu ngazi ya stashahada ya uzamili ( Masters of science degree) ya sayansi nchini Uingereza
27 Agosti, 2014, Dar es Salaam, Tanzania–BG Tanzania iliandaa hafla kwa ajili ya kuwaaga wanafunzi kumi watanzania waliofaulu kupata udhamini wa elimu ya juu ngazi ya stashahada ya uzamili ( Masters of science degree ) ya sayansi kwenye vyuo vikuu nchini Uingereza.
Katika hafla hii, wanafunzi watapata fursa ya kukutana na Meneja Mkuu wa BG Tanzania ( Derek Hudson) pamoja na wafanyakazi na wadau Mbalimbali.
Udhamini huu wa elimu ya juu ni kati ya mpango mkakati wa maendelo ya jamii...
Katika hafla hii, wanafunzi watapata fursa ya kukutana na Meneja Mkuu wa BG Tanzania ( Derek Hudson) pamoja na wafanyakazi na wadau Mbalimbali.
Udhamini huu wa elimu ya juu ni kati ya mpango mkakati wa maendelo ya jamii...
11 years ago
Mwananchi16 Dec
13 kufadhiliwa shahada ya uzamili
Wanafunzi 13 wa Chuo Kikuu cha Uongozi na Sayansi Tanzania (UMAST), waliopata daraja la kwanza wamepata ufadhili wa kusomeshwa masomo ya shahada ya uzamili na watapewa ajira ya kufundisha chuoni hapo
10 years ago
Mwananchi12 Apr
MAZNAT: Mpambaji maharusi wenye shahada ya uzamili
>Tangu utoto wangu niliamini kuwa mikono yangu inaweza kufanya kazi na kuniwezesha kuendesha maisha hivyo nina kila sababu ya kuitumia kadiri Mungu anavyoniwezesha.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PBGm91fsrpQ/VVxCLBxSqRI/AAAAAAAHYac/adX3w0sbfvM/s72-c/bg.jpg)
BG TANZANIA KUZINDUA UDHAMINI WA SHAHADA YA UZAMILI YA SAYANSI YA MAFUTA NA GESI - CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-PBGm91fsrpQ/VVxCLBxSqRI/AAAAAAAHYac/adX3w0sbfvM/s640/bg.jpg)
Katika hafla ya uzinduzi huu, Mgeni rasimi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Kayanza Pinda. Wageni wengine walio...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pYeZQR03gkY/U7bUBLiEFPI/AAAAAAAFu9I/LWf9XwOJflQ/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WANAFUNZI WANAOCHUKUA MASOMO YA SHAHADA YA UZAMILI NA UZAMIVU KATIKA RELI KUTOKA CHUO KIKUU CHA SOUTHWEST JIATONG CHA NCHINI CHINA WATEMBELEA WIZARA YA UCHUKUZI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-pYeZQR03gkY/U7bUBLiEFPI/AAAAAAAFu9I/LWf9XwOJflQ/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LcGVCc9x_lc/U7bUC5TjE1I/AAAAAAAFu9Y/RQ3JYVlEezw/s1600/unnamed+(8).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s72-c/_MG_2358.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KULINDA SHAHADA ZAO ZA KUPIGIA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s640/_MG_2358.jpg)
Dkt Magufuli ameishauri tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutimiza wajibu wake wa kutenda haki kwa wagombea wote wa ngazi za Uraisi,pia amewataka Wananchi wakatae kulaghaiwa...
5 years ago
Michuzi'LEADIMPACT UNIVERSITY' YAWATUNUKU SHAHADA YA HESHIMA WATANZANIA, YUMO DC MJEMA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Dk. Sophia Mjema akizungumza na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania