BG Tanzania yawadhamini wanafunzi kumi kupata elimu ya juu ngazi ya stashahada ya uzamili ( Masters of science degree) ya sayansi nchini Uingereza
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZAKwFZCEa9o/U_8C2qEQnLI/AAAAAAAGKLM/3C6ya1ZfU_Y/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
27 Agosti, 2014, Dar es Salaam, Tanzania–BG Tanzania iliandaa hafla kwa ajili ya kuwaaga wanafunzi kumi watanzania waliofaulu kupata udhamini wa elimu ya juu ngazi ya stashahada ya uzamili ( Masters of science degree ) ya sayansi kwenye vyuo vikuu nchini Uingereza.
Katika hafla hii, wanafunzi watapata fursa ya kukutana na Meneja Mkuu wa BG Tanzania ( Derek Hudson) pamoja na wafanyakazi na wadau Mbalimbali.
Udhamini huu wa elimu ya juu ni kati ya mpango mkakati wa maendelo ya jamii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Wanafunzi wa stashahada ya ualimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati UDOM kunufaika na mikopo ya elimu ya juu
Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya utoaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Baadhi ya Waaandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KgML90XocmQ/VCV66AkgQ0I/AAAAAAAGmAE/_uM804tdR1k/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Mdau Ephrahim Mushi alamba Nondozz yake ya Masters degree in Environmental Science katika Chuo Kikuu cha Wageningen University nchini Uholanzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-KgML90XocmQ/VCV66AkgQ0I/AAAAAAAGmAE/_uM804tdR1k/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3hpIMhLoRkQ/VCV68QmbNDI/AAAAAAAGmAM/i_or_K19mSs/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
9 years ago
StarTV18 Dec
Masomo Ya Sayansi Ya Kijeshi  TMA, IAA kuanzishwa ngazi ya shahada, stashahada
Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi TMA kimesaini mkataba wa makubaliano na chuo cha IAA wa kuanzishwa program ya shahada pamoja na stashahada ya uzamili ya masomo ya sayansi ya kijeshi.
Programu hiyo ina lengo la kuzalisha maofisa watakaokuwa na weledi katika kufikiri na kutekeleza wajibu wao kwenye masuala ya ulinzi.
Makubaliano hayo yamesainiwa na mkuu wa chuo cha mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli mkoani Arusha Meja Jenerali Paul Masao na mkuu wa taasisi ya mafunzo ya uhasibu iliyopo mkoani...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VnW6eDWwu90/VHhD6i4aEdI/AAAAAAAGz6s/vuW3MnWPp9I/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Eng. Ahmed Dau Alamba Nondozzzz ya Masters of Science Degree in Petroleum, Energy, Economics and Finance katika Chuo Kikuu cha Aberdeen
![](http://4.bp.blogspot.com/-VnW6eDWwu90/VHhD6i4aEdI/AAAAAAAGz6s/vuW3MnWPp9I/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3wbVAA6JPNA/VHhD7oPWqwI/AAAAAAAGz6w/Y9bfVgTPdkQ/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TFKhJIHu1mE/VHhD897GhmI/AAAAAAAGz68/zDZt35P0RNU/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydSnOQi3wvk/VdSJlkdrTZI/AAAAAAAAJJA/E8U3UH2NU_g/s72-c/Fionnuala%2BGilsenan.jpg)
IRELAND YAWADHAMINI WATANZANIA 14 KWA SHAHADA YA UZAMILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydSnOQi3wvk/VdSJlkdrTZI/AAAAAAAAJJA/E8U3UH2NU_g/s640/Fionnuala%2BGilsenan.jpg)
Na Daniel MbegaUBALOZI wa Ireland nchini Tanzania, umewapatia scholarship Watanzania 14 ili kusoma kozi mbalimbali za shahada ya uzamili (masters) na huku wanne kati yao wakienda kusoma vyuo vya nje ya nchi hasa University College Dublin, Dublin Institute of Technology na National...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-osmbxl6-X64/VbDWFGJ_DTI/AAAAAAACgM8/K1_6NtUq47c/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA 10 YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA VYUO VYA ELIMU YA JUU NCHINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-osmbxl6-X64/VbDWFGJ_DTI/AAAAAAACgM8/K1_6NtUq47c/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8UvF0UU_NZQ/VbDWJzHJOOI/AAAAAAACgNE/ysScJJibNR0/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi23 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PBGm91fsrpQ/VVxCLBxSqRI/AAAAAAAHYac/adX3w0sbfvM/s72-c/bg.jpg)
BG TANZANIA KUZINDUA UDHAMINI WA SHAHADA YA UZAMILI YA SAYANSI YA MAFUTA NA GESI - CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-PBGm91fsrpQ/VVxCLBxSqRI/AAAAAAAHYac/adX3w0sbfvM/s640/bg.jpg)
Katika hafla ya uzinduzi huu, Mgeni rasimi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Kayanza Pinda. Wageni wengine walio...