MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA 10 YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA VYUO VYA ELIMU YA JUU NCHINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-osmbxl6-X64/VbDWFGJ_DTI/AAAAAAACgM8/K1_6NtUq47c/s72-c/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuashiria kufungua rasmi Maonesho ya 10 ya Sayansi ya Teknolojia ya Vyuo vya Elimu ya Juu, nchini yanayoendelea kwenye Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa mvumbuzi wa mashine ya kuchujia maji safi, Dkt....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la mafunzo ya pamoja kwa mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia jijini Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania, Lennarth Hjelmaker, wakati alipowasili kwenye Taasisi ya ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, jijini Arusha kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kimataifa la Mafunzo ya pamoja kwa Mabadiliko ya Kisayansi na Teknolojia, yaliyoanza leo jijini Arusha. Mafunzo hayo yameshirikisha washiriki kutoka Nchi 14 za Afrika na washiriki kutoka Vyuo 15 vya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vxa5_uOriYI/U-hy5f83FKI/AAAAAAACnLU/KCo6en3tvE4/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA MITAALA KWA VYUO VYA KIISLAM, MJINI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-vxa5_uOriYI/U-hy5f83FKI/AAAAAAACnLU/KCo6en3tvE4/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7duBxsYjhD0/U-hy5h7M63I/AAAAAAACnLY/pT8oPFcwq54/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oBuWYxf5iXI/U-vHeVayU2I/AAAAAAAF_S0/c2PsZMGGCjA/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AFUNGUA MKUTANO WA SITA WA VYUO VIKUU MJINI ARUSHA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-oBuWYxf5iXI/U-vHeVayU2I/AAAAAAAF_S0/c2PsZMGGCjA/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8LDXJKwl6YI/U-vHeTHGw6I/AAAAAAAF_Sw/1QpUbgGhPkQ/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua maonesho ya mwezi wa wanawake wajasiriamali (MOWE) Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene, wakati aliwasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 28, 2014 kwa ajili ya kufungua rasmi Maonesho ya mwezi wa Wanawake Wajasiliamali (MOWE). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Masoko wa Kampuni ya GS 1, Ester Budili,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lE45k0j2fqY/VE9_CG4V-fI/AAAAAAACt0M/7CzAejS8cWI/s72-c/9.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA MWEZI WA WANAWAKE WAJASILIAMALI (MOWE) JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lE45k0j2fqY/VE9_CG4V-fI/AAAAAAACt0M/7CzAejS8cWI/s1600/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5R4VbeNsaGI/VE-CiYTXbpI/AAAAAAACt0k/AhqFkQieli8/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-p9gtdSwmsKs/Vg0u25oJt9I/AAAAAAAH8Hg/mccQps5hlqI/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA KIMATAIFA YA KUKUZA BIASHARA YA UTALII YA SWAHILI (SITE) JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-p9gtdSwmsKs/Vg0u25oJt9I/AAAAAAAH8Hg/mccQps5hlqI/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uF-s6QKPhkc/Vg0u2zfhPSI/AAAAAAAH8Hk/ju67jdOVF_o/s640/02.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QOAcK6scAYE/U-IXyxXo7II/AAAAAAAF9js/ZCH1lb_UAAM/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI KWA NCHI ZA AFRIKA NA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA, JIJINI ARUSHA
Kongamano hilo ambalo limedhaminiwa na Shirika la misaada la Kimataifa la Marekani (USAID) linalenga kukuza tafiti za kisayansi na kutanua maendeleo ya tafiti hizo ili yasaidie wananchi wa nchi za ukanda huu hasa vijana ambao wanaelezwa kuwa...