Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muasisi wa kundi la muziki Ladysmith Black Mambazo Joseph Shabalala amefariki dunia

Mwanamuziki huyo alianzisha kikundi cha kwaya maarufu duniani kutoka nchini Afrika Kusini na kukiongoza kwa muda wa miaka 50.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Joseph Shabalala: Remembering Ladysmith Black Mambazo's founder

The Ladysmith Black Mambazo founder, who helped introduce Zulu music to the world, has died aged 78.

 

9 years ago

BBC

VIDEO: Ladysmith Black Mambazo up for Grammy

Ladysmith Black Mambazo have been nominated for Best World Music Album for the 2016 Grammy Awards.

 

5 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini : Je, bendi ya Ladysmith Black Mambazo inasambaratika?

The Daily Sun Afrika linaripoti wana wawili wa Shabalala wanazozania uongozi wa bendi ilioanzishwa na baba yao

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki Joseph Shabalala afariki dunia

Joseph Shabalala, ambaye alisaidia kuanzisha sauti ya muziki wa jadi wa Kizulu ulimwenguni, amefariki akiwa na umri wa miaka 78.

 

10 years ago

Dewji Blog

Msanii wa muziki wa dansi nchini Amigolas amefariki dunia

amigo

Msanii aliyewahi kuwa mwimbaji wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘a.k.a Amigolas (pichani) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu

MOblog inajaribu kufanya mawasiliano ya karibu kwa njia ya simu na mjomba wa marehemu Bw. Rajab Ahmed ili kujua marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi gani.

MOblog inaunga na familia ya marehemu katika kuombeleza kifo cha Khamis Kayumbu na mwenyezi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News…Msanii wa muziki wa dansi Banza Stone amefariki dunia!

IMG_8689

 

Chanzo kupitia akaunti ya twitter ya Power breakfast ya Clouds radio.

Taarifa zaidi hapo baadae kidogo, Modewjiblog inafanya mawasiliano na ndugu wa karibu wa marehemu Banza Stone.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Ken Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Ken Rogers aliyefahamika kwa wimbo kama vile The Gambler, "ameacha historia siyoweza kufutika " katika muziki, imesema familia yake.

 

11 years ago

TheCitizen

Black Mambazo, Africa’s musical jewel

>This week marked a milestone achievement for South African choral group, the Lady Smith Black Mambazo, after they were honoured with a Lifetime Achievement Award at the annual South Africa Music Awards.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa kundi la Taleban amefariki

Habari kutoka kwa serikali ya Afghanistan zimeiambia BBC kuwa kinara mkuu wa kundi la wapiganaji wa Taliban, Mullah Omar amefariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani