Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAKA BADILIKA, UTAFIKIRI TAA YA TRENI

Haya tena wapenzi tumekutana tena kama ilivyo ada anti yenu nimejaa tele kama pishi ya mchele, nakushangaa wewe, eeh wewe unamuangalia nani? Kila siku kulalama eti mke wangu kanichoka, mchezo kama mgao wa umeme. Wan’chekesha tena wan’chekesha sana, jamani tokea lini tembo akaelemewa na mkonga wake au kuku alikufa kwa kutambaliwa na utitiri. Leo nataka nikupashe upashike hata katika mpira kila kukicha wanabadili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19



Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19





Na Bahati Mollel,TAA

BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.

Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...

 

10 years ago

Michuzi

ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitka kutangaza kuwa treni za abiria za kwenda Kigoma hazitofika katika stesheni ya Kigoma badala yake zitatumia kituo kidogo cha Katosho.
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni  kutofika katika stesheni ya Kigoma  unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini  Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la  stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...

 

10 years ago

GPL

LUNDENGA; USITAFUTE MCHAWI, BADILIKA! KWAKO

Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim Lundenga. Bila shaka u-mzima wa afya na unaendelea na michakato yako ya kukufanya mkono uende kinywani. Binafsi mimi ni mzima wa afya, naendelea na majukumu yangu ya kila siku. Miongoni mwa majukumu yangu ni hili la kukuandikia barua, huwa nawaandikia watu tofauti lakini leo nimekukumbuka wewe kama muandaaji wa shindano kubwa la urembo nchini, Miss Tanzania. Dhamana uliyokuwa nayo...

 

9 years ago

Global Publishers

Wastara umekiri starehe zimekuponza, badilika kweli!

IMG382KWAKO dada yangu Wastara Juma Kilowoko. Habari za siku? Vipi unaendeleaje na shughuli zako? Bila shaka Mungu anaendelea kukupigania, ni vyema na haki ukaendelea kumtumainia yeye, maana ndiye muweza wa yote.

Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima wa afya. Naendelea na harakati zangu kama kawaida. Mungu ni mwema pia, anaendelea kubariki kazi za mikono yangu. Mkono unakwenda kinywani kama kawaida, naendelea kumtumainia yeye!

Dhumuni la barua hii, kwanza ni kukusalimu. Lakini baada ya salamu,...

 

9 years ago

Mwananchi

Treni ya mizigo yaanguka, abiria 1,000 wa treni wakwama Dodoma

Zaidi ya abiria 1,000 waliokuwa wakisafiri kwa treni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani ya Kigoma na Mwanza wamekwama mkoani hapa baada ya treni ya mizigo kuanguka kati ya Kituo cha Itigi na Kitalaka.

 

10 years ago

Michuzi

HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015

Uongozi wa Kampuni  ya Reli Tanzania  –TRL unachukua  fursa hii kuwataarifu wateja wetu wote na Watanzania kwa ujumla na hasa maeneo ya kituo cha Reli cha Nguruka mkoani Kigoma, kuwa treni yetu maarufu ya Deluxe itasimama kituoni hapo kuteremsha na kupakia  abiria.
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha  Nguruka, shime  wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAA kuboresha viwanja mikoani

MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege (TAA), imesema itaendelea kuboresha viwanja vya ndege vilivyoko mikoani, ili kila mwananchi aweze kutumia usafiri huo. Ofisa Sheria na Mahusiano wa mamlaka hiyo, Nuru Nyoni,...

 

10 years ago

GPL

AJILIPUA KWA MAFUTA YA TAA

Stori:  Hamida Hassan na Gladness Mallya
Kijana mmoja Nicholas Mhagama (25), mkazi wa Makongo Juu Dar,  juzi kati alijilipua na mafuta ya taa kisa kikidaiwa kunyanyaswa na babu yake. Tukio hilo lilitokea eneo la Makongo Juu Makaburini usiku ambapo kijana huyo na babu yake aliyemtaja kwa jina moja la Mhagama waligombana. Kijana Nicholas Mhagama (25) aliyejilipuwa na mafuta ya taa akidai kunyanyaswa. AJILIPUA KWA MAFUTA YA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani