Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LUNDENGA; USITAFUTE MCHAWI, BADILIKA! KWAKO

Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim Lundenga. Bila shaka u-mzima wa afya na unaendelea na michakato yako ya kukufanya mkono uende kinywani. Binafsi mimi ni mzima wa afya, naendelea na majukumu yangu ya kila siku. Miongoni mwa majukumu yangu ni hili la kukuandikia barua, huwa nawaandikia watu tofauti lakini leo nimekukumbuka wewe kama muandaaji wa shindano kubwa la urembo nchini, Miss Tanzania. Dhamana uliyokuwa nayo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAKA BADILIKA, UTAFIKIRI TAA YA TRENI

Haya tena wapenzi tumekutana tena kama ilivyo ada anti yenu nimejaa tele kama pishi ya mchele, nakushangaa wewe, eeh wewe unamuangalia nani? Kila siku kulalama eti mke wangu kanichoka, mchezo kama mgao wa umeme. Wan’chekesha tena wan’chekesha sana, jamani tokea lini tembo akaelemewa na mkonga wake au kuku alikufa kwa kutambaliwa na utitiri. Leo nataka nikupashe upashike hata katika mpira kila kukicha wanabadili...

 

9 years ago

Global Publishers

Wastara umekiri starehe zimekuponza, badilika kweli!

IMG382KWAKO dada yangu Wastara Juma Kilowoko. Habari za siku? Vipi unaendeleaje na shughuli zako? Bila shaka Mungu anaendelea kukupigania, ni vyema na haki ukaendelea kumtumainia yeye, maana ndiye muweza wa yote.

Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima wa afya. Naendelea na harakati zangu kama kawaida. Mungu ni mwema pia, anaendelea kubariki kazi za mikono yangu. Mkono unakwenda kinywani kama kawaida, naendelea kumtumainia yeye!

Dhumuni la barua hii, kwanza ni kukusalimu. Lakini baada ya salamu,...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukizubaa, imekula kwako

Yanga Simba, Mtibwa Sugar na Azam zinarejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara leo, kesho baada ya kupumzika kwa wiki mbili zikishiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi.

 

11 years ago

GPL

LUNDENGA...

Hili nalo neno! Baada ya Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu kutwaa Taji la Ijumaa Sexiest Girl 2013/14, Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga ‘Anko’ ameufungukia ushindi wa mrembo huyo. Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu baada ya kutwaa tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl 2013/14. Akizungumza ndani ya Chumba cha Habari cha Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Lundenga...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba wamsaka ‘mchawi’

Siku moja baada ya Simba kunyukwa mabao 3-2 na JKT Ruvu, hali si shwari ndani ya klabu hiyo baada ya wachezaji kumwangushia lawama kocha wao Zdravok Logarusic, huku wengine wakiuangushia lawama uongozi.

 

11 years ago

Mwananchi

Rage: Tusitafute mchawi

>Baada ya kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Mgambo Shooting mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage ametaka wanachama wake asitafute mchawi kwa vile kiwango cha timu yao ni kibovu.

 

10 years ago

Vijimambo

HUU NI UJUMBE WANGU KWAKO

UKITENGENEZA MAISHA YAKO USIMSAHAU Mama, Daima Usimdharau Mama, mpende Mama na umtunze sana Mama. Mvumilie sana kwa mapungufu yoyote yale utakayoyaona kwake, hayupo alie mkamilifu kwa% Kumbuka MIEZI 9 ulikaa ndani ya tumbo la Mama, MIAKA 2 au zaid ulikunywa kilicho kifuani mwa Mama!. Kitanda chako kilikua miguu yake, Bembea yako ilikua mgongo wake, na mikojo kwa kadri ulivyo jisikia. Alikubali kuumia ili wewe upate kukua, kila siku uamkapo na ulalapo muombee mama.

 

10 years ago

GPL

MAMA YANGU NI MCHAWI: ADEBAYOR

Straika wa Tottenham, Emmanuel Adebayor akiwa na mama yake. STRAIKA wa Klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza, Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake. Emmanuel Adebayor. Taarifa zinaeleza kuwa, mama huyo tayari ameondoka katika nyumba ya familia huku dadaake Adebayor aitwaye Maggie akiiambia radio moja ya mjini Accra kwamba Adebayor ndiye… ...

 

10 years ago

GPL

UNGO WA MCHAWI WAZUA KIZAAZAA!

Dustan Shekidele, Morogoro
NI mshangao! Katika hali isiyotarajiwa, ungo wenye vifaa vya kichawi umekutwa jirani na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mazimbu, Dayosisi ya Morogoro na kuzua kizaazaa kikubwa. Ungo wenye vifaa vya kichawi ukiwa jirani na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mazimbu, Dayosisi ya Morogoro. Tukio hilo la aina yake lilijiri saa 12  asubuhi, Jumatano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani