MAMA YANGU NI MCHAWI: ADEBAYOR
![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJMShKU9rbUE0Gc4nYMC-RL4Rv4Dxn35OcEYhxF9U71T4Nv9fKEdVG5dZbn3H9SRGP0-x1gkcI7vqY3g3*JLcdJK/adebayor.jpg)
Straika wa Tottenham, Emmanuel Adebayor akiwa na mama yake. STRAIKA wa Klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza, Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake. Emmanuel Adebayor. Taarifa zinaeleza kuwa, mama huyo tayari ameondoka katika nyumba ya familia huku dadaake Adebayor aitwaye Maggie akiiambia radio moja ya mjini Accra kwamba Adebayor ndiye… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Adebayor adai mamaake ni mchawi
10 years ago
Bongo511 Feb
New Music: Kimbunga Mchawi Ft. Bagasco Kunene & Fredy – Ikulu Yangu
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Lembeli: CCM si mama yangu
JUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli (CCM), amesema kuwa yuko tayari kufanyiwa lolote na chama chake lakini kamwe hatatengua msimamo wake wa kudai Serikali ya Tanganyika. Kauli hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAZCpa6IVGQcmsVYmHYfEUAv2GaUUGOTcT-9x2IY4-F9Tdf*16pz3Fasmvu05VkwDueDVia6tO4PiEKpvjy7VpWy/nisha.jpg)
NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MBTZAla8n8zHIc*ttVdGy5N4E74bE4EUbHJLeNN1plWrLxkD8w9yPoaeK8B-wIN-EPcYHDNy1mxM0YNQuQDs1Ip/ADEBAYOR.jpg?width=550)
SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE: ADEBAYOR KUMWAGA 'UBUYU' MWINGINE WA MDOGO WAKE ROTIMI
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Saidi Idd: Nimechomwa mkuki na mama yangu mzazi
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Wema: Mama Yangu Amepoteza Uwezo wa Kuona Kwa 75%!
Staa wa Bongo movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%).
Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.
“Kumnusuru mama yangu asipate upofu wa moja kwa moja inabidi afanyiwe operesheni ya macho,” alisema Wema kwa huzuni kwa kuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Jue2RfsEQyg/XujAvaTDi9I/AAAAAAAAV2s/2QMoeDWNeE48MLk2nGmmN_P9NhvBidSrgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
RAIS MAGUFULI: MUOMBEENI MAMA YANGU HAWEZI HATA KUJIGEUZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jue2RfsEQyg/XujAvaTDi9I/AAAAAAAAV2s/2QMoeDWNeE48MLk2nGmmN_P9NhvBidSrgCLcBGAsYHQ/s400/images.jpg)
Kauli hiyo ameitoa leo Juni 16, 2020, wakati wa hotuba yake ya kuvunja rasmi Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma.
"Ninawaomba muendelee kumuombea mama yangu ambaye amekaa na Kiharusi hawezi akazungumza, hawezi akajigeuza, hawezi akala, anakula kwa kutumia mpira...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0obVMQ1Gh9U/UxrH5QgVjGI/AAAAAAAFR4M/wJ8hTmJNgcc/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Mama yangu hakuwa amesoma lakini alihakikisha naingia sekondari: Hajjat Amina Mrisho Saidi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0obVMQ1Gh9U/UxrH5QgVjGI/AAAAAAAFR4M/wJ8hTmJNgcc/s1600/unnamed+(3).jpg)
Kuwapatia wanawake fursa katika nyanja zote ni muhimu kwa maendeleo ya kaya zao na hata taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imejidhihirisha kwa Hajjat Amina Mrisho Saidi, Kamishna wa Sensa Tanzania mwaka 2012 ambaye baada ya kumaliza elimu ya msingi alijikita katika kuchunga mbuzi huko kwao mkoani Arusha akidhani ndoto ya elimu ya sekondari imetwama!
Hata hivyo jitihada za mama yake mzazi na zake yeye binafsi pamoja na serikali...