Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA YANGU NI MCHAWI: ADEBAYOR

Straika wa Tottenham, Emmanuel Adebayor akiwa na mama yake. STRAIKA wa Klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza, Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake. Emmanuel Adebayor. Taarifa zinaeleza kuwa, mama huyo tayari ameondoka katika nyumba ya familia huku dadaake Adebayor aitwaye Maggie akiiambia radio moja ya mjini Accra kwamba Adebayor ndiye… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Adebayor adai mamaake ni mchawi

Mshambuliaji wa Totenham Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Kimbunga Mchawi Ft. Bagasco Kunene & Fredy – Ikulu Yangu

Wimbo mpya kutoka kwa rapper Kimbunga Mchawi akiwa amewashirikisha Bagasco Kunene na Fredy wimbo unaitwa “Ikulu Yangu”

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli: CCM si mama yangu

JUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli (CCM), amesema kuwa yuko tayari kufanyiwa lolote na chama chake lakini kamwe hatatengua msimamo wake wa kudai Serikali ya Tanganyika. Kauli hiyo...

 

11 years ago

GPL

NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU

Stori: Emelder Tarimo Vunja ukimya! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amevunja ukimya kwa kusema kuwa kwa sasa hana shosti zaidi ya mama yake mzazi. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akifurukuta mbele ya Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Nisha alifunguka kwamba mama yake ndiye kila kitu kwani muda mwingi humshauri mambo mazuri na ya kimaendeleo zaidi tofauti na...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE: ADEBAYOR KUMWAGA 'UBUYU' MWINGINE WA MDOGO WAKE ROTIMI

Adebayor ametupia picha hii Facebook na kuahidi kutoa sehemu ya 2 ya stori ya kaka yake Rotimi. SAKATA la straika wa Klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza, Emmanuel Adebayor na familia yake limechukua sura mpya ambapo staa huyo ameahidi kutoa sehemu ya pili ya stori 'ubuyu' mwingine kuhusu kaka yake mwingine aitwaye Rotimi Adebayor muda muafaka ukifika. Adebayor ameahidi kutoa ubuyu huo ikiwa ni siku chache tangu aachie waraka...

 

10 years ago

Mwananchi

Saidi Idd: Nimechomwa mkuki na mama yangu mzazi

Mtaa wa Mwatulole, wilayani Geita mkoani Geita, ndiko anakopatikana mtoto Saidi Idd , (so jina lake halisi), mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mwatulole mwenye umri wa miaka saba.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Mama Yangu Amepoteza Uwezo wa Kuona Kwa 75%!

Staa wa Bongo movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%).

Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.

“Kumnusuru mama yangu asipate upofu wa moja kwa moja inabidi afanyiwe operesheni ya macho,” alisema Wema kwa huzuni kwa kuwa...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI: MUOMBEENI MAMA YANGU HAWEZI HATA KUJIGEUZA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewaomba Watanzania kuendelea kumuombea Mama yake mzazi ambaye amelala kitandani kwa kipindio cha miaka miwili sasa bila kujigeuza wala kula.

Kauli hiyo ameitoa leo Juni 16, 2020, wakati wa hotuba yake  ya kuvunja rasmi Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma.

"Ninawaomba muendelee kumuombea mama yangu ambaye amekaa na Kiharusi hawezi akazungumza, hawezi akajigeuza, hawezi akala, anakula kwa kutumia mpira...

 

11 years ago

Michuzi

Mama yangu hakuwa amesoma lakini alihakikisha naingia sekondari: Hajjat Amina Mrisho Saidi

Hajjat Amina Mrisho Saidi,  Kamishna wa Sensa Tanzania mwaka 2012
Kuwapatia wanawake fursa katika nyanja zote ni muhimu kwa maendeleo ya kaya zao na hata taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imejidhihirisha kwa Hajjat Amina Mrisho Saidi, Kamishna wa Sensa Tanzania mwaka 2012 ambaye baada ya kumaliza elimu ya msingi alijikita katika kuchunga mbuzi huko kwao mkoani Arusha akidhani ndoto ya elimu ya sekondari imetwama! 
Hata hivyo jitihada za mama yake mzazi na zake yeye binafsi pamoja na serikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani