Adebayor adai mamaake ni mchawi
Mshambuliaji wa Totenham Emmanuel Adebayor amekosana na mamaake kwa madai kwamba anatumia uchawi kumharibia kazi yake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJMShKU9rbUE0Gc4nYMC-RL4Rv4Dxn35OcEYhxF9U71T4Nv9fKEdVG5dZbn3H9SRGP0-x1gkcI7vqY3g3*JLcdJK/adebayor.jpg)
MAMA YANGU NI MCHAWI: ADEBAYOR
11 years ago
BBCSwahili23 Dec
Adebayor adai kutoheshimwa na Tottenham
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MBTZAla8n8zHIc*ttVdGy5N4E74bE4EUbHJLeNN1plWrLxkD8w9yPoaeK8B-wIN-EPcYHDNy1mxM0YNQuQDs1Ip/ADEBAYOR.jpg?width=550)
SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE: ADEBAYOR KUMWAGA 'UBUYU' MWINGINE WA MDOGO WAKE ROTIMI
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Mamaake Samson Siasia atekwa nyara Nigeria
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Rage: Tusitafute mchawi
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Simba wamsaka ‘mchawi’
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-33
ILIPOISHIA WIKIENDA
Siku ile sikutoka tena nyumbani. Ilipofika usiku mke wangu alimpigia mama yake aliyekuwa akiishi Kinondoni. Akazungumza naye na kukubaliana kuwa mama huyo angekuja kukaa kwetu wakati Suzana akijifungua. SASA ENDELEA…
Katika juma lile nikafanya jambo moja zuri. Nilinunua nyumba moja iliyokuwa inauzwa eneo la Mwananyamala.
Ilikuwa nyumba ya zamani. Baada ya kuinunua niliifanyia ukarabati ionekane ya kisasa.
Baada ya hapo nikaiacha. Sikutaka kuingiza mpangaji ingawa watu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wUzf0I1qQ-s3Vvw6*7hvpTCVEWzVQZXrazwGS7eEbpiuwdq8xgBDjaFSiNedeWuRA*F31c3Qk-0Vbkwcy4qAilG/nisha.jpg?width=650)
NISHA AWABWATUKIA WANAOMWITA MCHAWI
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-34
ILIPOISHIA IJUMAA:
“Amejifungua salama?”
“Amejifungua salama.”
“Ni sasa hivi au ni muda uleule mliofika?”
“Tulipofika hakukaa sana, akaingizwa kizimbani.”
“Kuna kipindi nilipiga simu lakini haikupokelewa.”
“Nilikuwa nikishughulika na yeye.”
“Sawa, basi nitakuja kuwaona.”
SASA ENDELEA…
Muda wangu wa kutoka kazini ulipowadia niliondoka ofisini kwangu, dereva wangu akanirudisha nyumbani. Nilioga, nikabadili nguo na kutoka tena, sasa kwa kutumia gari binafsi.
Nilikwenda hospitalini alikojifungua...