NISHA AWABWATUKIA WANAOMWITA MCHAWI
![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wUzf0I1qQ-s3Vvw6*7hvpTCVEWzVQZXrazwGS7eEbpiuwdq8xgBDjaFSiNedeWuRA*F31c3Qk-0Vbkwcy4qAilG/nisha.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MWANADADA kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewabwatukia wasanii wenzake wanaomshutumu kwamba anatumia ndumba na kuwataka waache maneno hayo. Mwanadada kutoka kiwanda cha Filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ Nisha aliyasema hayo kufuatia hivi karibuni kuzagaa kwa tetesi kuwa alizomewa na wasanii wenzake wakimwita mchawi kutokana na mafanikio aliyoyapata kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Zitto awatolea uvivu wanaomwita kibaraka wa CCM
10 years ago
GPLWOLPER AWABWATUKIA WANAOMSEMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH5mkSrFQF1cA9SgocouS-7g9zPjE9IwrgI5QfaH-jPsBtEDKzNt7n0ur7J-5Xtelo7nVKPgsjnRUY4sdXLXm8ma/mwakifambwa.jpg)
MWAKIFWAMBA AWABWATUKIA BONGO MOVIE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0p38n3dbXqEJgRD9*fka3vzShO82xksix7yw2tZvxqCLBGU03kBNqC7CDfAU*6-VXGN9pu1xCresV7ya*ucDmDf/MTOTO.jpg)
AUNT EZEKIEL AWABWATUKIA WAKWE ZAKE
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Rage: Tusitafute mchawi
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Simba wamsaka ‘mchawi’
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Adebayor adai mamaake ni mchawi
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-34
ILIPOISHIA IJUMAA:
“Amejifungua salama?”
“Amejifungua salama.”
“Ni sasa hivi au ni muda uleule mliofika?”
“Tulipofika hakukaa sana, akaingizwa kizimbani.”
“Kuna kipindi nilipiga simu lakini haikupokelewa.”
“Nilikuwa nikishughulika na yeye.”
“Sawa, basi nitakuja kuwaona.”
SASA ENDELEA…
Muda wangu wa kutoka kazini ulipowadia niliondoka ofisini kwangu, dereva wangu akanirudisha nyumbani. Nilioga, nikabadili nguo na kutoka tena, sasa kwa kutumia gari binafsi.
Nilikwenda hospitalini alikojifungua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BYFBgNpMDMTEWWqgbUdUtGBtoTpwCxXjl9zb8L0R49o22Gh3nH7WxM3vBHnY84MoQ1l2fbpSRfyeW59-SsBIDYy5nh-eiB7k/JUMAMOSIBACK.jpg)
UNGO WA MCHAWI WAZUA KIZAAZAA!