Simba wamsaka ‘mchawi’
Siku moja baada ya Simba kunyukwa mabao 3-2 na JKT Ruvu, hali si shwari ndani ya klabu hiyo baada ya wachezaji kumwangushia lawama kocha wao Zdravok Logarusic, huku wengine wakiuangushia lawama uongozi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
UKAWA wamsaka JK
KATIKA kusaka suluhu ya kuendele kwa Bunge Maalum la Katiba, wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanakusudia kukutana na Rais Jakaya Kikwete ili kumtaka atafute ufumbuzi wa suala...
10 years ago
Mwananchi07 May
Wamsaka mrithi wa Lowassa
10 years ago
Habarileo27 Mar
Polisi wamsaka Askofu Gwajima
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam wamefungua jalada la uchunguzi dhidi ya tuhuma za Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima za tuhuma za kumkashifu Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki, Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Polisi wamsaka muuaji wa Charleston
11 years ago
Habarileo06 Feb
Polisi bado wamsaka mbunge wa Chadema
POLISI Jijini Arusha bado inamsaka Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema Chadema), lakini Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Liberatus Sabas, amesema ‘watampata tu.’
10 years ago
CloudsFM22 Jan
POLISI MWANZA WAMSAKA MTOTO ALBINO ALIYEPOTEA
POLISI wametangaza kutoa dau la shilingi milioni tatu sawa na dola 1,700 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mtoto albino, Pendo Emmanuel aliyetoweka nyumbani kwake na kupelekwa mahali pasipojulikana mwezi uliopita mkoani Mwanza.
Awali watu 15 walikamatwa na jeshi la Polisi mkoani Mwanza kufuatia msako unaojulikana kama 'Hakuna kulala' dhidi mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) Pendo Emanuel kutekwa na watu wasiojulikana usiku wa tarehe 27.12.2014 nyumbani kwao...
9 years ago
Vijimambo18 Sep
Polisi wamsaka 'Daudi Balali' anayemiliki ukurasa wa twitter
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ad-18Sept2015.png)
Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, aliyasema hayo wakati akizungumza na Nipashe ofisini kwake jana.
Bulimba alisema kuwa taarifa za uwapo wa ukurasa huo wa twitter, wamekwishazipata na wanafanya uchunguzi wa kina kumkamata mhusika kisha...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Rage: Tusitafute mchawi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJMShKU9rbUE0Gc4nYMC-RL4Rv4Dxn35OcEYhxF9U71T4Nv9fKEdVG5dZbn3H9SRGP0-x1gkcI7vqY3g3*JLcdJK/adebayor.jpg)
MAMA YANGU NI MCHAWI: ADEBAYOR