WOLPER AWABWATUKIA WANAOMSEMA
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper. STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amewabwatukia baadhi ya watu wanaomsema kuwa kafulia na kudai hawajitambui na wanapenda kuzungumza vitu ambavyo hawana uhakika navyo. Akizungumza na mwandishi wetu, Wolper alisema anashangazwa na watu ambao wanaojifanya ni watabiri wa maisha yake wakati hakuna hata mmoja ambaye anajua ni wapi alipotokea, wanamzushia na kumuandika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH5mkSrFQF1cA9SgocouS-7g9zPjE9IwrgI5QfaH-jPsBtEDKzNt7n0ur7J-5Xtelo7nVKPgsjnRUY4sdXLXm8ma/mwakifambwa.jpg)
MWAKIFWAMBA AWABWATUKIA BONGO MOVIE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wUzf0I1qQ-s3Vvw6*7hvpTCVEWzVQZXrazwGS7eEbpiuwdq8xgBDjaFSiNedeWuRA*F31c3Qk-0Vbkwcy4qAilG/nisha.jpg?width=650)
NISHA AWABWATUKIA WANAOMWITA MCHAWI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0p38n3dbXqEJgRD9*fka3vzShO82xksix7yw2tZvxqCLBGU03kBNqC7CDfAU*6-VXGN9pu1xCresV7ya*ucDmDf/MTOTO.jpg)
AUNT EZEKIEL AWABWATUKIA WAKWE ZAKE
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...