Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-34

ILIPOISHIA IJUMAA:
“Amejifungua salama?”
“Amejifungua salama.”
“Ni sasa hivi au ni muda uleule mliofika?”

“Tulipofika hakukaa sana, akaingizwa kizimbani.”
“Kuna kipindi nilipiga simu lakini haikupokelewa.”
“Nilikuwa nikishughulika na yeye.”
“Sawa, basi nitakuja kuwaona.”
SASA ENDELEA…

Muda wangu wa kutoka kazini ulipowadia niliondoka ofisini kwangu, dereva wangu akanirudisha nyumbani. Nilioga, nikabadili nguo na kutoka tena, sasa kwa kutumia gari binafsi.

Nilikwenda hospitalini alikojifungua...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-33

ILIPOISHIA WIKIENDA
Siku ile sikutoka tena nyumbani. Ilipofika usiku mke wangu alimpigia mama yake aliyekuwa akiishi Kinondoni. Akazungumza naye na kukubaliana kuwa mama huyo angekuja kukaa kwetu wakati Suzana akijifungua. SASA ENDELEA…

Katika juma lile nikafanya jambo moja zuri. Nilinunua nyumba moja iliyokuwa inauzwa eneo la Mwananyamala.

Ilikuwa nyumba ya zamani. Baada ya kuinunua niliifanyia ukarabati ionekane ya kisasa.
Baada ya hapo nikaiacha. Sikutaka kuingiza mpangaji ingawa watu...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-32

ILIPOISHIA IJUMAA:
“Mimi nafikiri anaweza kuwa ni kichaa. Mtu mzima na akili zake hawezi kufanya hivyo,” nikamwambia huku nikitazama pembeni.
“Kama ni kichaa aliingiaje kwenye geti mahali ambapo palikuwa na askari na alitoka vipi bila kuonekana?”

“Mimi nadhani hawa askari wanalala usiku.”
“Ndiyo nataka kupata taarifa yao ili niweze kuchukua hatua.”
Pakapita kimya kifupi kabla ya waziri huyo kuniambia.
SASA ENDELEA…

“Nilikuita kukupa pole tu baada ya kusikia kuwa gari lako liliibwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-31

Wakati natoka mle ofisini niligeuza uso wangu nikaitazama tena ile ofisi. Nilihisi kama nilikuwa naagana nayo. Huenda nilikuwa naitwa kufukuzwa kazi.
Nilishuka ngazi taratibu huku nikiwaza. Maafisa wa wizara yangu niliopishana nao kwenye ngazi pia walinishangaa kuniona hivyo. Nilikuwa kama mgonjwa. SASA ENDELEA…

Kama ninaitwa kufukuzwa kazi, nilijiambia, nijiandae pia kufunguliwa mashtaka ya kufanya vitendo vile vya uchawi nyumbani kwa waziri mkuu.Lakini mbali ya hilo niliendelea kujiambia,...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-29

ILIPOISHIA WIKIENDA
Baada ya polisi huyo kufanya marekebisho, alikwenda kumfahamisha mkuu wa kituo ambaye alitoka ofisini kwake akiwa ameshika lile kadi la gari langu.
“Umekuja na funguo ya lile gari?” akaniuliza.

“Ndiyo ninayo.”
“Twende nikakukabidhi.”
Mimi na mkuu huyo wa kituo tulitoka nje na kwenda lilipokuwa gari hilo.

Tulilikagua gari hilo kwa pamoja kisha nikajaribu kuliwasha. Gari liliwaka bila tatizo.
“Sasa mheshimiwa kama umeshatoa maelezo yako unaweza kuchukua gari lako,...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Alipokiri Kuwa Mchawi-30

ILIPOISHIA IJUMAA:
“Hello my darling…!” nikamwambia.
“Utarudi saa ngapi?” akaniuliza swali hilo kwa jazba.
“Kwa nini unaniuliza hivyo?”
“Kwa nini nisikuulize, mimi si mke wako? Unataka akuulize nani?”
SASA ENDELEA…

Ili kumtuliza nikajidai kucheka. Nilijua ni ile mimba ndiyo iliyokuwa inamsumbua.
“Nitarudi mchana nikimaliza kazi zangu.”
“Usichelewe mimi sijisikii vizuri.”
“Una nini?”

“Nimekwambia sijisikii vizuri. Mwili wangu uko ovyoovyo.”
“Nenda hospitali.”
“Siendi, nataka wewe uwahi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nataka kuwa Waziri mkuu:Malala

Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala Yousafzai raia wa Pakistani amesema kuwa siku zijazo anatarajia kuwa mwanasiasa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Nigeria kuwa waziri wa mafuta

Rais mpya wa Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari atahudumu pia kama waziri wa mafuta.

 

9 years ago

Habarileo

Mpango akataa kuwa Waziri ombaomba

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema kamwe hatapenda kuwa waziri ombaomba wa fedha, bali atahakikisha anaelekeza nguvu katika kukusanya kodi ili nchi iweze kujitosheleza kwa mapato ya ndani.

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira: Nitamteua Magufuli kuwa waziri

Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema akipata ridhaa ya wananchi kuwa rais wa Tanzania, atamteua mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwa Waziri wa Ujenzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani