Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mghwira: Nitamteua Magufuli kuwa waziri

Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema akipata ridhaa ya wananchi kuwa rais wa Tanzania, atamteua mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwa Waziri wa Ujenzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mghwira aahidi Kigoma kuwa ghala la chakula

Mgombea wa urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema endapo akipewa ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano atahakikisha Mkoa wa Kigoma unakuwa ghala la chakula.

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira: Hakuna sababu ya Watanzania kuwa maskini

Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema Watanzania hawana sababu ya kuwa maskini, bali ni kutokana na mfumo mbovu uliowekwa na chama tawala.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mkoani Geita, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao. Wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato Mkoani Geita wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao wakiimba wimbo maalum wa Shule hiyo katika Mahafali ya 10 shuleni hapo.

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mheshimiwa Dkt....

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli amteua Majaliwa kuwa waziri mkuu

Rais wa Tanzania John Magufuli amemteua mbunge wa Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuwa waziri mkuu mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

Msimchague Magufuli, asema Mghwira

Watanzania wametakiwa kutomchagua mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kwa madai kuwa Serikali iliyopo madarakani inatumia mabilioni ya fedha kununua fulana, kofia na kugawa bure, huku ikishindwa kuwalipia chakula wanafunzi shuleni.

 

9 years ago

TheCitizen

ACT’s Mghwira challenges Magufuli to embrace change

ACT-Wazalendo presidential candidate Anna Mghwira stole the show during a ceremony to hand over winner’s certificate to president-elect John Magufuli.

 

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira amdai Magufuli Katiba mpya

Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Anna Mghwira amemtaka Rais Mteule Dk John Magufuli kutekeleza utashi wa wananchi kwa kuwapatia Katiba mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira ataka Magufuli amtaje aliyeua viwanda

Mgombea urais kwa tiketi ya ACT – Wazalendo, Anna Mghwira amemtaka mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwaeleza Watanzania nani aliua viwanda kabla ya kuahidi Tanzania nyingine ya viwanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani