Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msimchague Magufuli, asema Mghwira

Watanzania wametakiwa kutomchagua mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kwa madai kuwa Serikali iliyopo madarakani inatumia mabilioni ya fedha kununua fulana, kofia na kugawa bure, huku ikishindwa kuwalipia chakula wanafunzi shuleni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mghwira: Nitamteua Magufuli kuwa waziri

Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema akipata ridhaa ya wananchi kuwa rais wa Tanzania, atamteua mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwa Waziri wa Ujenzi.

 

9 years ago

TheCitizen

ACT’s Mghwira challenges Magufuli to embrace change

ACT-Wazalendo presidential candidate Anna Mghwira stole the show during a ceremony to hand over winner’s certificate to president-elect John Magufuli.

 

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira amdai Magufuli Katiba mpya

Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Anna Mghwira amemtaka Rais Mteule Dk John Magufuli kutekeleza utashi wa wananchi kwa kuwapatia Katiba mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira ataka Magufuli amtaje aliyeua viwanda

Mgombea urais kwa tiketi ya ACT – Wazalendo, Anna Mghwira amemtaka mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwaeleza Watanzania nani aliua viwanda kabla ya kuahidi Tanzania nyingine ya viwanda.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Msimchague huyu

Rais Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini nchini kuwahimiza waumini wao kuwachagua wanasiasa wasiokuwa waovu, wasiofanana na uovu au hata kuukaribia.

 

9 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUTIKISA MJI WA MOROGORO JIONI YA LEO,JK ASEMA MAGUFULI NDIO JIBU SAHIHI AWAMU YA TANO.

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Kikwete na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakiwapungia mikono wananchi huku wakiwa wameshika kofia zao.  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisistiza jambo katika mkutano huo. Wananchi wakiwa wamefurika kwenye uwanja wa Jamhuti mjini Morogoro kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,ambapo Dkt Magufui aliwahutubia wananchi hao sambamba na kuzinadi sera zake ...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli asema M4C ni ‘Magufuli for Change’

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema maana na neno M4C, linalotumia na Chadema ni ‘Magufuli for Change” akimaanisha ndiye atakayeleta mabadiliko.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete ampongeza Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Anna Mghwira wa ACT Wazalendo atuma salamu za pongezi

j1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva  kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015.

j4

j6

j7

j2

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila...

 

9 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AMPONGEZA RAIS MTEULE DKT JOHN POMBE MAGUFULI, MAMA ANNA MGHWIRA WA ACT WAZALENZO ATUMA SALAMU ZA PONGEZI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva  kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii Oktoba 29, 2015. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila pembe ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani