Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Msimchague huyu

Rais Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini nchini kuwahimiza waumini wao kuwachagua wanasiasa wasiokuwa waovu, wasiofanana na uovu au hata kuukaribia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Msimchague Magufuli, asema Mghwira

Watanzania wametakiwa kutomchagua mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kwa madai kuwa Serikali iliyopo madarakani inatumia mabilioni ya fedha kununua fulana, kofia na kugawa bure, huku ikishindwa kuwalipia chakula wanafunzi shuleni.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete: Huyu ni sawa na tingatinga

Mgombea Urais kupitia CCM, Dk John Magufuli akisalimiana na mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete mjini Dodoma.MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amemfananisha mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli na tingatinga na kuwa akiwa Rais, Tanzania itanufaika sana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani