Nataka kuwa Waziri mkuu:Malala
Mshindi wa Nishani ya Nobel bint Malala Yousafzai raia wa Pakistani amesema kuwa siku zijazo anatarajia kuwa mwanasiasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 May
Inspekta Haroon: Nataka kuwa mchekeshaji
Na Rhobi Chacha
UNALIKUMBUKA kundi la Gangwe Mobb, hapo lazima utamtaja Haruna Kaena ‘Insepkta Haroun’ na Luten Kalama, wawili hao baada ya kutengana kila mmoja akawa anafanya kazi binafsi lakini sasa Inspekta Haroun ameibuka na kudai kwamba anataka kuwa mwigizaji wa vichekesho.
Inspekta Haroun aliyetamba na wimbo wa ‘Mtoto wa Geti Kali’ aliendelea kueleza kwamba fani anazozipenda ni muziki na kuigiza vichekesho.
“Mimi msanii hivyo natakiwa niwe mbunifu, nisibweteke na kazi, fani moja na kwa...
10 years ago
Michuzi07 Dec
Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.
![](https://3.bp.blogspot.com/-oJh2Cn9yQak/VINKdRvDW8I/AAAAAAADJj4/0uJNUkCOwzk/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHcmC4yyDpE/VINK3s8Ur5I/AAAAAAADJkI/sMkDVFsuX7A/s1600/l1.jpg)
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...
11 years ago
Dewji Blog07 Aug
JK: Nataka kuwa Rais wa mwisho kuongoza Tanzania masikini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa anataka na anatamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini na hivyo atatumia muda wake uliobakia katika uongozi kuelekeza nchi kwenye mwelekeo huo.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa jambo la msingi kabisa la kama Watanzania watanufaika na ugunduzi wa gesi asili ama watabakia katika hali yao ya sasa ya...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Magufuli amteua Majaliwa kuwa waziri mkuu
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/IVygxsOMFd0/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi19 Nov
JPM amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--1r92oX1rO0/U_X2NS38reI/AAAAAAAGBLY/-ZMZhts9VHo/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi mashindano ya Kimataifa ya Wushu
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya Kimataifa ya mchezo wa Wushu (Kung fu) yatakayofanyika hapa nchi kuanzia tarehe 30 hadi 31 katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Mchezo wa Wushu nchini Mwalami Mitete alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Katika taarifa yake Mwalami alisema kuwa mashindano hayo yatajumuisha...
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-g5jzVV9S_5Y/Vk11kb7l8uI/AAAAAAAA1Ow/G1Wp2mjbNg0/s72-c/IMG_20151119_100418.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p10nFPJIjM0/Vk2d0QSB-MI/AAAAAAAIGx0/njuL_76ngEs/s72-c/DSC_0373-FILEminimizer.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: MH. KASSIM MAJALIWA APITISHWA KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p10nFPJIjM0/Vk2d0QSB-MI/AAAAAAAIGx0/njuL_76ngEs/s640/DSC_0373-FILEminimizer.jpg)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, muda mfupi uliopita limepitisha jina la Mbunge wa Jimbo la Rwangwa, Mh. Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Serikali ya awamu ya tano baada ya jina lake kupelekwa Bungeni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mh. Majaliwa amepitishwa kwa kura 258 sawa na asilimia 73.5% ya kura zote za ndio.