Mama yangu hakuwa amesoma lakini alihakikisha naingia sekondari: Hajjat Amina Mrisho Saidi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0obVMQ1Gh9U/UxrH5QgVjGI/AAAAAAAFR4M/wJ8hTmJNgcc/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Hajjat Amina Mrisho Saidi,
Kamishna wa Sensa Tanzania mwaka 2012
Kuwapatia wanawake fursa katika nyanja zote ni muhimu kwa maendeleo ya kaya zao na hata taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imejidhihirisha kwa Hajjat Amina Mrisho Saidi, Kamishna wa Sensa Tanzania mwaka 2012 ambaye baada ya kumaliza elimu ya msingi alijikita katika kuchunga mbuzi huko kwao mkoani Arusha akidhani ndoto ya elimu ya sekondari imetwama!
Hata hivyo jitihada za mama yake mzazi na zake yeye binafsi pamoja na serikali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Saidi Idd: Nimechomwa mkuki na mama yangu mzazi
9 years ago
Bongo508 Dec
Mrisho Mpoto amliza Vanessa Mdee…lakini si kwa ubaya!
![mpoto n vee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/mpoto-n-vee-300x194.jpg)
Sio kila siku unaweza kuamka na furaha na kila kitu kikawa sawa. Kuna nyakati ambazo mtu unaweza kujikuta hauko vizuri kutokana na baadhi ya mambo yako kukwama.
Katika hali kama hii binadamu huhitaji kitu kidogo tu kama maneno ya kutia moyo kutoka kwa mtu unayemuheshimu, ambayo yanaweza kuirudisha furaha iliyokuwa imepotea kwa muda.
Ujumbe wa pongezi kwa muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee umegeuka kuwa faraja kwa Vee Money ambaye kwa mujibu wa post yake ya Instagram siku ya leo Dec 8...
11 years ago
GPLMAZISHI YA MAMA YAKE MZAZI SAIDI MDOE, BI DESTA MOHAMMED YALIVYOFANYIKA LEO
10 years ago
Bongo Movies01 Jul
Aunty Ezekiel: Nimezaa na Mose Iyobo Lakini Ndoa Yangu Ipo Pale Pale
Muigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike, amedai kuwa licha ya kuzaa nje ya ndoa, bado anaamini ndoa yake ipo pale pale.
Akizungumza na Bongo5 leo, Aunty aka Mama Cookie, amesema aliamua kuzaa na Moses Iyobo, dancer wa Diamond Platnumz kwakuwa muda wa kuwa mama ulikuwa umefika.
“Mimi niliamua kupata mtoto baada ya kuona wakati umefika,” amesema.
“Kwasababu siku zinaenda pamoja na umri inabidi maisha yaendelee mbele. Ndoa yangu ipo kama ilivyokuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJMShKU9rbUE0Gc4nYMC-RL4Rv4Dxn35OcEYhxF9U71T4Nv9fKEdVG5dZbn3H9SRGP0-x1gkcI7vqY3g3*JLcdJK/adebayor.jpg)
MAMA YANGU NI MCHAWI: ADEBAYOR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAZCpa6IVGQcmsVYmHYfEUAv2GaUUGOTcT-9x2IY4-F9Tdf*16pz3Fasmvu05VkwDueDVia6tO4PiEKpvjy7VpWy/nisha.jpg)
NISHA: NIACHENI NA MAMA YANGU
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Lembeli: CCM si mama yangu
JUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, James Lembeli (CCM), amesema kuwa yuko tayari kufanyiwa lolote na chama chake lakini kamwe hatatengua msimamo wake wa kudai Serikali ya Tanganyika. Kauli hiyo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqpok7HrQrqKYCB1wpBtIYgt0obNl4SobbVgllL7ZXKV69trEgi3CgRbe86jRM2ThISG5zRBSd3zVUvJSDCssa0S/images.jpg?width=650)
DIAMOND SIYO KOSA KUISHI NA MAMA LAKINI KUNA UMUHIMU WA KUJITENGA NAYE?!?