DC: Wazazi acheni ulevi na starehe
MKUU wa Wilaya ya Mlele mkoani Katavi , Ngemela Lubinga amekemea tabia ya baadhi ya wazazi na walezi wilayani humo, kuendekeza ulevi na starehe huku wakikaidi kuwekeza katika maendeleo ya elimu ya watoto wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M5JLAFxn1FEUpcX7uEARk-DqG*SXxlnK3wfjclgwBB3eBKqMQ1ArJBaX*hFwSYg0YWr5y4k8iZkN8pUCjWXuUACNbrcXB0n/Mlela.jpg)
MLELA AKIRI KUPONZWA NA STAREHE!
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Vijana watakiwa kutoendekeza starehe
VIJANA wameshauriwa kutokuendekeza starehe zisizo na maana kwao, bali wajikite kwenye mambo ya msingi na yenye faida katika maisha yao ya baadaye. Rai hiyo imetolewa na jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Muziki ni zaidi ya dansi na Starehe -3
9 years ago
Bongo Movies20 Dec
Wastara: Najuta Starehe Zimeniponza
STAA wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema kitu ambacho kimemponza na kumfanya asumbuliwe na mguu wake mara kwa mara ni kujisahau sana katika starehe kwa kuwa hajawahi kujikubali kuwa ni mlemavu.
![Wastara](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/WASTARA13.jpg)
Wastara
Akipiga stori na paparazi wetu Wastara alisema, tangu alipopatwa na tatizo hilo la mguu kwenye fikra zake hakutaka kukubali matokeo, siku zote alipenda aishi kama alivyokuwa mzima ikiwa ni pamoja na kwenda kwenye muziki na kucheza.
“Siyo siri nilijisahau sana, sikupenda kujiona mlemavu,...
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Ulevi noma
Konda huyo akiwa amelewa chakali.
Mashaka Kisusi, Mwanza
CHAPOMBE! Kondakta wa daladala moja la Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza amejikuta akiponzwa na ulevi baada ya bosi wake kuamua kumfukuza kazi mara moja, kufuatia kulewa akiwa kazini na kushindwa kufanya kazi, Risasi Jumamosi linaripoti.
Tukio hilo lilitokea mchana wa Jumatano iliyopita katika mnada wa Masasi wilayani Misungwi mkoani hapa, wakati kondakta huyo alipokuwa katika foleni ya kupakia abiria na kuamua kunywa pombe ya viroba...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Wanafunzi Amboni marufuku nyumba za starehe
MWENYEKITI wa Kamati ya Shule ya Msingi Amboni iliyopo nje kidogo ya Jiji la Tanga, Amiri Mlugu, amepiga marufuku wanafunzi wa shule hiyo kwenda katika majumba ya starehe ikiwemo vibanda...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
‘Napenda kusaidia jamii kuliko starehe’
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6jEk69OYDwqWAirmtwwWJKDJ8v20lzeSk6xkdlVIAPbj8n7gWY6exy2htXFsCTOZnLkszB8fBzm*zIWmHCnaVhu/13080318.jpg?width=650)
SETH BOSCO AJUTIA KUPONZWA NA STAREHE