Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi Amboni marufuku nyumba za starehe

MWENYEKITI wa Kamati ya Shule ya Msingi Amboni iliyopo nje kidogo ya Jiji la Tanga, Amiri Mlugu, amepiga marufuku wanafunzi wa shule hiyo kwenda katika majumba ya starehe ikiwemo vibanda...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI KISSA PHARMACY LTD WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI TANGA(AMBONI CAVES)


Wafanyakazi wa Kissa Pharmacy Ltd  Pharmaceuticals Whole Sale And Retali Mbeya Tz wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika eneo la mapango ya Amboni (AMBANI CAVES ) kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya kihistoria ndani ya Mapango hayo sanjali na kuhamasisha utalii wa ndani.Picha na Emanuel Madafa Baba JJ
Wafanyakazi Kissa Pharmacy wakisikiliza kwa makini maelezo ya mmoja wa watoa huduma katika mapango hayo Ndugu Allan Yohana kabla ya kuanza rasmi shughuli ya...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri- Simu marufuku kwa wanafunzi sekondari

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imepigilia msumari kwa kuendelea kuwazuia wanafunzi wa shule za sekondari za serikali za bweni na kutwa kumiliki simu za mkononi wakiwa shuleni na yule atakayekamatwa hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.

 

10 years ago

Habarileo

SMZ :Marufuku wanafunzi kurejeshwa nyumbani kwa ada

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar,  Zahra Ali Hamad SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka walimu wakuu kuacha tabia ya kuwasumbua na kuwarudisha shule wanafunzi ambao wazazi wao wameshindwa kulipa ada ya mwaka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Marufuku yawekwa ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi, Uingereza

Wachambuzi wamefurahishwa na marufuku ya uhusiano wa mapenzi kati ya wafanyakazi na wanafunzi katika chuo kimoja

 

10 years ago

Bongo5

Ni marufuku kwa wanafunzi kupigana busu kwenye chuo kikuu cha Zimbabwe

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Zimbabwe hawaruhisiwi kupigana mabusu. Hiyo ni moja ya sheria kali kwenye chuo hicho. Uongozi wa chuo hicho umedai kuwa wanafunzi watakaokutwa kwenye pozi la kimahaba watachukuliwa hatua za kinidhamu. “Katika umri huu kusema siruhusiwi kumbusu au kumkumbatia mtu.. haiingii akilini,” mwakilishi wa wanafunzi wa chuo hicho, Tsitsi Mazikana aliiambia BBC.

 

10 years ago

A Hideout For Criminals? Really?

Amboni


IPPmedia
Amboni - a Hideout for Criminals? Really?
AllAfrica.com
IT did not make good reading at the weekend when two police officers and four soldiers with Tanzania People's Defence Forces (TPDF) were attacked and badly injured by armed criminals who were hiding in the Amboni Caves in Tanga City. It is incredible ...
Situation in Tanga Region under control, say PoliceIPPmedia
Army denies taking over from police in Tanga gangster chaseDaily News
Fear in Tanzania town after alleged Al-Shabaab...

 

10 years ago

Daily News

Amboni: A hideout for criminals? Really?


Amboni: A hideout for criminals? Really?
Daily News
IT did not make good reading at the weekend when two police officers and four soldiers with Tanzania People's Defence Forces (TPDF) were attacked and badly injured by armed criminals who were hiding in the Amboni Caves in Tanga City. It is incredible ...
Tanzanian army officer killed, five injured in fire exchangeGlobalPost
TPDF officer killed, 2 others and 3 cops injured in shoot-outs with `terrorists`IPPmedia

all 8

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara: Najuta Starehe Zimeniponza

STAA wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema kitu ambacho kimemponza na kumfanya asumbuliwe na mguu wake mara kwa mara ni kujisahau sana katika starehe kwa kuwa hajawahi kujikubali kuwa ni mlemavu.

Wastara

Wastara

Akipiga stori na paparazi wetu Wastara alisema, tangu alipopatwa na tatizo hilo la mguu kwenye fikra zake hakutaka kukubali matokeo, siku zote alipenda aishi kama alivyokuwa mzima ikiwa ni pamoja na kwenda kwenye muziki na kucheza.
“Siyo siri nilijisahau sana, sikupenda kujiona mlemavu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani