Amboni
IPPmediaAmboni - a Hideout for Criminals? Really?
AllAfrica.com
IT did not make good reading at the weekend when two police officers and four soldiers with Tanzania People's Defence Forces (TPDF) were attacked and badly injured by armed criminals who were hiding in the Amboni Caves in Tanga City. It is incredible ...
Situation in Tanga Region under control, say PoliceIPPmedia
Army denies taking over from police in Tanga gangster chaseDaily News
Fear in Tanzania town after alleged Al-Shabaab...
a Hideout for Criminals? Really?
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI KISSA PHARMACY LTD WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI TANGA(AMBONI CAVES)
10 years ago
Daily News16 Feb
Amboni: A hideout for criminals? Really?
Daily News
IT did not make good reading at the weekend when two police officers and four soldiers with Tanzania People's Defence Forces (TPDF) were attacked and badly injured by armed criminals who were hiding in the Amboni Caves in Tanga City. It is incredible ...
Tanzanian army officer killed, five injured in fire exchangeGlobalPost
TPDF officer killed, 2 others and 3 cops injured in shoot-outs with `terrorists`IPPmedia
all 8
10 years ago
TheCitizen18 Feb
Tell whole truth on Amboni, govt urged
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Operesheni Mapango ya Amboni yakamilika
10 years ago
Habarileo10 Mar
Mwanafunzi ndani ya mauaji Amboni
WAKAZI 10 wa jijini hapa, akiwemo mwanafunzi wa sekondari wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wakikabiliwa na makosa matano tofauti kuhusu tukio la kuwanyang’anya polisi silaha pamoja na kumuua askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Sajenti Mohamed Rashid Kajembe.
10 years ago
Mtanzania28 Mar
‘Gaidi’ wa Amboni Tanga mbaroni
NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
JESHI la Polisi mkoani Tanga, limedai kufanikiwa kumkamata mmoja wa watuhumiwa aliyehusika kwenye tukio lenye sura ya kigaidi katika mapango ya Amboni.
Zaidi Jeshi hilo limemuhusisha mtuhumiwa huyo na tukio la uporaji silaha kwa askari waliokuwa doria eneo la barabara ya nne na tano Mtaa wa Makoko jijini Tanga, Januari 26 mwaka huu.
Takribani mwezi mmoja uliopita, tukio hilo la Amboni ambalo msingi wa kujulikana kwake ulitokana na kuporwa kwa silaha hizo,...
11 years ago
Habarileo11 Jul
Ufaransa kutangaza mapango ya Amboni
BALOZI wa Ufaransa nchini, Marcel Escure ameahidi kuwa nchi yake itashirikiana kwa karibu na Tanzania chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kulifanya eneo la Mapango ya Amboni mkoani Tanga kuwa eneo maalumu la utalii na lenye kuvutia.
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Uhalifu wa Amboni Tanga unatufunza nini?
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 41
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Kaikush alikuwa amepata hasira,” Faiza aliniambia.
“Ni ile hasira ya kuniacha mimi.”
“Na pia ameona ninatoroshwa.”
Baada ya kuzipita zile maiti nne hatukutembea mwendo mrefu tukaanza kuona mwanga kwa mbali.“Naona tumeukaribia mlango wa pango!” nikamwambia Faiza kwa matumaini. SASA ENDELEA…
“Utakuwa ni ule kule mbele, kuna mwanga.” Faiza akaniambia.
“Sasa tukazane tufike.”
Ingawa tulikuwa tumechoka, tulipogundua kuwa tulikuwa tumeukaribia mlango wa pango hilo...