Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amboni


IPPmedia
Amboni - a Hideout for Criminals? Really?
AllAfrica.com
IT did not make good reading at the weekend when two police officers and four soldiers with Tanzania People's Defence Forces (TPDF) were attacked and badly injured by armed criminals who were hiding in the Amboni Caves in Tanga City. It is incredible ...
Situation in Tanga Region under control, say PoliceIPPmedia
Army denies taking over from police in Tanga gangster chaseDaily News
Fear in Tanzania town after alleged Al-Shabaab...

a Hideout for Criminals? Really?

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI KISSA PHARMACY LTD WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI TANGA(AMBONI CAVES)


Wafanyakazi wa Kissa Pharmacy Ltd  Pharmaceuticals Whole Sale And Retali Mbeya Tz wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika eneo la mapango ya Amboni (AMBANI CAVES ) kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya kihistoria ndani ya Mapango hayo sanjali na kuhamasisha utalii wa ndani.Picha na Emanuel Madafa Baba JJ
Wafanyakazi Kissa Pharmacy wakisikiliza kwa makini maelezo ya mmoja wa watoa huduma katika mapango hayo Ndugu Allan Yohana kabla ya kuanza rasmi shughuli ya...

 

10 years ago

Daily News

Amboni: A hideout for criminals? Really?


Amboni: A hideout for criminals? Really?
Daily News
IT did not make good reading at the weekend when two police officers and four soldiers with Tanzania People's Defence Forces (TPDF) were attacked and badly injured by armed criminals who were hiding in the Amboni Caves in Tanga City. It is incredible ...
Tanzanian army officer killed, five injured in fire exchangeGlobalPost
TPDF officer killed, 2 others and 3 cops injured in shoot-outs with `terrorists`IPPmedia

all 8

 

10 years ago

TheCitizen

Tell whole truth on Amboni, govt urged

>The public should be told the truth about last weekend’s siege at the Amboni caves near Tanga in order to end the spiralling speculation on the current security scare in the coastal city.

 

10 years ago

Mwananchi

Operesheni Mapango ya Amboni yakamilika

>Vikosi vya majeshi  vilivyokuwa vimeungana kukabiliana na tishio la majambazi katika Mapango ya Amboni, jijini Tanga vimekamilisha siku ya tatu za operesheni maalumu ya upekuzi ndani ya mapango hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanafunzi ndani ya mauaji Amboni

Sehemu ya mji wa TangaWAKAZI 10 wa jijini hapa, akiwemo mwanafunzi wa sekondari wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wakikabiliwa na makosa matano tofauti kuhusu tukio la kuwanyang’anya polisi silaha pamoja na kumuua askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Sajenti Mohamed Rashid Kajembe.

 

10 years ago

Mtanzania

‘Gaidi’ wa Amboni Tanga mbaroni

NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
JESHI la Polisi mkoani Tanga, limedai kufanikiwa kumkamata mmoja wa watuhumiwa aliyehusika kwenye tukio lenye sura ya kigaidi katika mapango ya Amboni.
Zaidi Jeshi hilo limemuhusisha mtuhumiwa huyo na tukio la uporaji silaha kwa askari waliokuwa doria eneo la barabara ya nne na tano Mtaa wa Makoko jijini Tanga, Januari 26 mwaka huu.
Takribani mwezi mmoja uliopita, tukio hilo la Amboni ambalo msingi wa kujulikana kwake ulitokana na kuporwa kwa silaha hizo,...

 

11 years ago

Habarileo

Ufaransa kutangaza mapango ya Amboni

BALOZI wa Ufaransa nchini, Marcel Escure ameahidi kuwa nchi yake itashirikiana kwa karibu na Tanzania chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kulifanya eneo la Mapango ya Amboni mkoani Tanga kuwa eneo maalumu la utalii na lenye kuvutia.

 

10 years ago

Mwananchi

Uhalifu wa Amboni Tanga unatufunza nini?

Katika masuala ya usalama, watu wanaweza kukaa eneo moja kwa muda mrefu wakipanga kufanya matukio ya uhalifu.

 

9 years ago

Global Publishers

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 41

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Kaikush alikuwa amepata hasira,” Faiza aliniambia.
“Ni ile hasira ya kuniacha mimi.”
“Na pia ameona ninatoroshwa.”
Baada ya kuzipita zile maiti nne hatukutembea mwendo mrefu tukaanza kuona mwanga kwa mbali.“Naona tumeukaribia mlango wa pango!” nikamwambia Faiza kwa matumaini. SASA ENDELEA…

“Utakuwa ni ule kule mbele, kuna mwanga.” Faiza akaniambia.
“Sasa tukazane tufike.”
Ingawa tulikuwa tumechoka, tulipogundua kuwa tulikuwa tumeukaribia mlango wa pango hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani