Ulevi noma
Konda huyo akiwa amelewa chakali.
Mashaka Kisusi, Mwanza
CHAPOMBE! Kondakta wa daladala moja la Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza amejikuta akiponzwa na ulevi baada ya bosi wake kuamua kumfukuza kazi mara moja, kufuatia kulewa akiwa kazini na kushindwa kufanya kazi, Risasi Jumamosi linaripoti.
Tukio hilo lilitokea mchana wa Jumatano iliyopita katika mnada wa Masasi wilayani Misungwi mkoani hapa, wakati kondakta huyo alipokuwa katika foleni ya kupakia abiria na kuamua kunywa pombe ya viroba...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHNZbBotYKNVlfj3*o7CXXMLO-Ir3h19NwbW-fSOXB3mW87JbRaYFprpkN4js*KlfqfTIcE*l4F6L1XIChbn*pc/BACKAMANI.gif?width=650)
ULEVI NI NOMA BINTI WA KIGOGO AFANYIWA MBAYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDJ1AxM30qrOZWwQz1EYXtyv-36NrKDLEkQ77thGg8LbPNO122QCUL3kYYR8hUQ6cVRyJi6evvNH8NDeTRp9MpBZ/noma.jpg)
FIESTA 2014: KAMA NOMA NA IWE NOMA!
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ulevi wamtia mashakani Phelps
10 years ago
Habarileo26 Oct
DC: Wazazi acheni ulevi na starehe
MKUU wa Wilaya ya Mlele mkoani Katavi , Ngemela Lubinga amekemea tabia ya baadhi ya wazazi na walezi wilayani humo, kuendekeza ulevi na starehe huku wakikaidi kuwekeza katika maendeleo ya elimu ya watoto wao.
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Ulevi wa Shisha washika kasi
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya
9 years ago
Habarileo15 Dec
Madereva kuelimishwa athari za ulevi
JESHI la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Mwanza limejipanga kushirikiana na wadau wengine kuelimisha madereva umuhimu wa kuepuka kuendesha magari wakiwa wamelewa. Hatua hiyo inalenga kuepusha ajali katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwishoni mwa mwaka za Krismasi na Mwaka mpya.