Fid Q: Najuta kutoa albamu mapema
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Farid Kubanda ‘Fid Q’ amesema anajutia kutoa albamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Vina Mwanzo Kati na Mwisho’ mapema kabla mfumo wa kutumia CD kuingia Tanzania.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Fid Q alisema kuwa mfumo wa kutumia kanda ulifanya albamu hiyo kuwafikia mashabiki wachache tofauti na malengo aliyojiwekea na anaamini angetumia CD kazi yake ingewafikia wengi.
“Muda mwingine nawaza albamu yangu ningeitoa kipindi ambacho CD...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Dr Dre kutoa albamu mpya ya muziki
9 years ago
Bongo510 Dec
Young Killer agwaya kutoa albamu
![msodoki youngkiller](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/msodoki-youngkiller-300x194.jpg)
Rapper kutoka Mwanza, Young Killer amesema albamu yake ipo tayari lakini anashindwa kuitoa kutokana na kuhofia hasara.
Rapa huyo ambaye ameachia wimbo mpya, ‘Popote Kambi’ hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa kinachomkwamisha kuitoa albamu hiyo ni kukosa wasambazaji.
“Sasa hivi nina nyimbo nyingi ambazo nina uwezo wa kuzifanya albamu. Redioni nina ngoma zaidi ya saba na nyumbani binafsi na ngoma karibia nane, hiyo tayari ni albamu,” amesema.
“Nikipata mtu ambaye anaweza akaihitaji,...
11 years ago
CloudsFM12 Aug
FID Q AJIPANGA KUTOA DOCUMENTARY YA KUREKEBISHA HIPHOP YA BONGO.
STAA wa Hip Hop,Fid Q yupo katika maandalizi ya kuachia documentary aliyoipa jina la ‘Bongo Hiphop’ kuelezea ishu mbalimbali za Hiphop Bongo historia yake kuanzia ilipotokea mpaka wakati huu, lakini kabla ya documentary hiyo kutoka kwa msanii huyo kesho August 13 ambayo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake ataachia soundtrack ya documentary hiyo.
11 years ago
Dewji Blog06 May
DART kuanza kutoa huduma mapema mwakani
Meneja Uhusiano Mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) Bw. William Gatambi (kushoto) akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo kuhusu maendeleo ya mradi huo ambao awamu ya kwanza itakamilika mwishoni wa mwaka huu. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi.
Na Frank Mvungi- Maelezo
Serikali inatarajia kuanza kutoa huduma za awali (interim services) katika mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) Kutoka Kimara mwisho...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s72-c/download+(2).jpg)
mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini dar es salaam kuanza kutoa huduma mapema mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-eeASJWSguhk/U2e3vw793cI/AAAAAAAFfxk/7dO3T-kYyRg/s1600/download+(2).jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jun
FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema
9 years ago
Bongo Movies20 Dec
Wastara: Najuta Starehe Zimeniponza
STAA wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema kitu ambacho kimemponza na kumfanya asumbuliwe na mguu wake mara kwa mara ni kujisahau sana katika starehe kwa kuwa hajawahi kujikubali kuwa ni mlemavu.
![Wastara](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/WASTARA13.jpg)
Wastara
Akipiga stori na paparazi wetu Wastara alisema, tangu alipopatwa na tatizo hilo la mguu kwenye fikra zake hakutaka kukubali matokeo, siku zote alipenda aishi kama alivyokuwa mzima ikiwa ni pamoja na kwenda kwenye muziki na kucheza.
“Siyo siri nilijisahau sana, sikupenda kujiona mlemavu,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0Ynx7VRQ7qEdf99zL0pBq-HwdjJYA4RGXgMuR3ClajxkpPZ8Fbow6uSe3ec815xqNqXD45oEGKvYsOpwSaEKCZN5/dia.jpg?width=650)
DIAMOND: NAJUTA KUWA STAA
11 years ago
GPLRACHEL: NAJUTA KUTAMANI KUOLEWA