Dr Dre kutoa albamu mpya ya muziki
Kwa miaka 15 mashabiki wa msanii Dr Dre wamekuwa wakingojea kwa hamu tangazo hilo muhimu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Oct
Queen Darleen ahofia kutoa nyimbo mpya kutokana na ushindani kwenye soko la muziki
10 years ago
Bongo528 Feb
Nikki Mbishi atoa sababu za kubadili uamuzi wa kuacha muziki, kutoa wimbo mpya March 4
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Fid Q: Najuta kutoa albamu mapema
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Farid Kubanda ‘Fid Q’ amesema anajutia kutoa albamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Vina Mwanzo Kati na Mwisho’ mapema kabla mfumo wa kutumia CD kuingia Tanzania.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Fid Q alisema kuwa mfumo wa kutumia kanda ulifanya albamu hiyo kuwafikia mashabiki wachache tofauti na malengo aliyojiwekea na anaamini angetumia CD kazi yake ingewafikia wengi.
“Muda mwingine nawaza albamu yangu ningeitoa kipindi ambacho CD...
9 years ago
Bongo510 Dec
Young Killer agwaya kutoa albamu
![msodoki youngkiller](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/msodoki-youngkiller-300x194.jpg)
Rapper kutoka Mwanza, Young Killer amesema albamu yake ipo tayari lakini anashindwa kuitoa kutokana na kuhofia hasara.
Rapa huyo ambaye ameachia wimbo mpya, ‘Popote Kambi’ hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa kinachomkwamisha kuitoa albamu hiyo ni kukosa wasambazaji.
“Sasa hivi nina nyimbo nyingi ambazo nina uwezo wa kuzifanya albamu. Redioni nina ngoma zaidi ya saba na nyumbani binafsi na ngoma karibia nane, hiyo tayari ni albamu,” amesema.
“Nikipata mtu ambaye anaweza akaihitaji,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrI4kVsvCxhTL1*mu2U*Z-rwewb7YxQyrDmJqZiZ1aPuNG5gnmUrICIjVl6SB4AYoLKkoyVI8wYFNUn9AXTfOa*F/chrisbrown.jpg?width=650)
CHRIS AMTUMIA MWANAYE KWENYE ALBAMU MPYA
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Albamu mpya ya Barnaba kuandaliwa miezi mitatu
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Barnaba Elias ‘Barnaba Classic’, amesema atatumia muda wa miezi mitatu kundaa albamu yake mpya.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Barnaba alisema matarajio yake ni kuingiza sokoni albamu hiyo kabla ya kumalizika kwa mwaka huu.
“Unajua tangu nilipoachia ile albamu ya kwanza imepita miaka miwili, nadhani ni muda mwafaka wa kuandaa kitu kingine kwa mashabiki zangu,” alisema Barnaba.
Barnaba alisema shuguli ya kuandaa albamu...
5 years ago
Bongo514 Feb
Barakah The Prince aeleza kuhusu ujio wa albamu yake mpya
Msanii wa muziki kutoka RockStar4000, Barakah The Prince amewataka mashabiki wa muziki wake kukaa mkao wa kula kwaajili ya ujio wa albamu yake ya kwanza.
Muimbaji huyo amesema albamu hiyo huwenda ikatoka katikati ya mwaka huu au mwisho wa mwaka kutegemea na maandalizi na uwamuzi wa label yake.
“Albamu yangu ya kwanza inatoka chini ya RockStar4000 na itatoka mwaka huu katikati au mwishoni,” Barakah The Prince alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV.
Alisema kila msanii wa label hiyo ana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8JnhcZTzQDt0Dm8bDsobWAphoXIUD6YD-jOiRDe2Csd5QcSUb7KTiNlf4mlYeTJXKOU4QlbROoYcB63O7iZrOiqD/14.jpg?width=650)
KAMBI YA EXTRA BONGO YAJIFUA KWA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA
11 years ago
GPLAMSHAAMSHA KABLA YA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA YA JAHAZI NDANI YA DAR LIVE