Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RACHEL: NAJUTA KUTAMANI KUOLEWA

Rachel Daudi Mwegola akiwa ndani ya Global TV Online. MSANII wa filamu Bongo, Rachel Mwegoha amefunguka ya moyoni kuwa anajuta kutamani kuolewa.
Akifanya mahojiano kupitia kipindi cha Mtu Kati kinachorushwa na Global TV Online, Rachel alisema kuwa anajuta jinsi alivyoutumia vibaya ujana wake kwa kuelekeza nguvu nyingi katika kutamani ndoa na mwisho kujikuta akiambulia maumivu. “Nilikuwa nikitamani sana kuolewa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wassira- Si dhambi kutamani kuwa Rais

KAMATI ndogo ya maadili ya CCM jana iliendelea kuhoji wanachama wake ambao wanatajwa kuanza harakati za urais kinyume na utaratibu wa chama. Jana ilikuwa zamu ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Steven Wassira.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wadau Wamshambulia Faiza, Kwa Bandiko Lake Mtandaoni la Kutamani Kufanya Ngono

Kufuatia andiko la staa mrembo  kutoka Bongo Movies, Faiza Ally ambae ni mzazi mwenzie na mbunge wa CHADEMA , Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ aliloandika kwenye ukurasa wake mtandaoni akidai kuwa anatamani kufanya mapenzi kwani ni muda mrefu sana hajafanya mapenzi.

“Natamani sana kufanya SEX nikikwambia Nina muda gani sijafanya huwezi kuamini - I NEED SEX ..GOOD ONE”-Faiza Aliandika.

Mara baada ya bandiko hilo wadau na mashabiki wengi walimshambulia kwa maneneo kuwa kama mwanamke na mama wa...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND: NAJUTA KUWA STAA

Stori: SHAKOOR JONGO
Exclusive Interview! Staa anayeuza zaidi kwa sasa kwenye muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ amefungukia skendo ambazo zimekuwa zikimtafuna kila kukicha huku akieleza kuwa, sasa anajuta kuwa staa, Ijumaa lina mzigo kamili. Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’. Akizungumza na paparazzi wetu katika mahojiano maalum wiki hii, Diamond alisema kuwa amekuwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara: Najuta Starehe Zimeniponza

STAA wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema kitu ambacho kimemponza na kumfanya asumbuliwe na mguu wake mara kwa mara ni kujisahau sana katika starehe kwa kuwa hajawahi kujikubali kuwa ni mlemavu.

Wastara

Wastara

Akipiga stori na paparazi wetu Wastara alisema, tangu alipopatwa na tatizo hilo la mguu kwenye fikra zake hakutaka kukubali matokeo, siku zote alipenda aishi kama alivyokuwa mzima ikiwa ni pamoja na kwenda kwenye muziki na kucheza.
“Siyo siri nilijisahau sana, sikupenda kujiona mlemavu,...

 

9 years ago

Mtanzania

Fid Q: Najuta kutoa albamu mapema

fid-qNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Farid Kubanda ‘Fid Q’ amesema anajutia kutoa albamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Vina Mwanzo Kati na Mwisho’ mapema kabla mfumo wa kutumia CD kuingia Tanzania.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Fid Q alisema kuwa mfumo wa  kutumia kanda ulifanya albamu hiyo kuwafikia mashabiki wachache tofauti na malengo aliyojiwekea na anaamini angetumia CD kazi yake ingewafikia wengi.

“Muda mwingine nawaza albamu yangu ningeitoa kipindi ambacho CD...

 

11 years ago

GPL

WEMA: NAJUTA KUMLIPIA KAJALA MIL 13!

Stori:Na Shakoor Jongo KAMA kuna kitu kinakukwaza ndani ya moyo wako, siku zote ukikaa nacho kitazidi kukuumiza lakini ukiamua kumtafuta mtu ambaye umeshibana naye na kumsimulia, moja kwa moja utakuwa umeutua mzigo! Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akiwa Kajala Masanja. Hicho ndicho amekifanya Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kwa kuweka kweupe chanzo cha ugomvi wake na staa mwenzake, Kajala...

 

9 years ago

GPL

MISS TZ: NAJUTA KUBEBA TAJI 2015

Mrembo wa Tanzania 2014-2015, Lilian Kamazima. Na imelda mtema Mrembo wa Tanzania 2014-2015, Lilian Kamazima amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa kuna kipindi anajuta kwa nini alijiingiza kwenye mambo ya urembo kwa mwaka huo kwani hakufaidi nafasi hiyo kutokana na adhabu ya kufungiwa ambayo ilimuathiri sana. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Lilian alisema kuwa mara nyingi unaposhiriki unakuwa na matumaini ya kushinda na baada...

 

9 years ago

Bongo5

Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi — Mr Blue

Rapper Mr Blue amesema kuingia kwenye uvutaji wa bangi kulimsabisha aache shule na kutaka kukaa kijiweni zaidi. Mr Blue aliliambia gazeti la Mwananchi kuwa, kuna vitu vingi ameshindwa kufanya kotokana na kuwa mtumwa wa bangi. “Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi,” anasema. “Siwezi kusema ni madawa ya kulevya kama inavyojulikana kwa unga na cocaine. Sijawahi […]

 

11 years ago

GPL

VAI WA UKWELI: TAMAA YA FEDHA ILINIPONZA, NAJUTA

Stori: Mwandishi Wetu
SIKU chache baada ya msanii anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ kuingia kwenye kumi na nane za mtego wa kujiuza wa kikosi kazi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’, ameibuka na kusema, anajuta, amekoma na hatarudia tena. Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ akiwa katika ofisi za GPL akiongea na OFM. Habari ya Vai kunaswa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani