JAJI WARIOBA KUILIZA AU KUIPA KICHEKO CCM LEO

Jaji Joseph Warioba. Ni rasimu ya pili mfumo wa Muungano. Nape: Tusubiri tuone kitakachotokea. Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo itakabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, rasimu ya pili na ya mwisho ya katiba mpya, huku Watanzania wengi wakisubiri kwa hamu kubwa kuona inapendekeza muundo gani wa Muungano baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukataa serikali tatu....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Jun
Sekretarieti ya CCM kuipa ajenda CC leo
KIKAO cha Sekretarieti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatarajiwa kukutana leo mjini hapa kikifuatiwa na kikao cha Kamati Kuu (CC) chini ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete.
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Wajumbe CCM waponda hotuba ya Jaji Warioba
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Jaji Warioba awananga wagombea urais CCM
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Ulinzi mkali mdahalo wa Jaji Warioba leo
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Shambuzi la Jaji Warioba ni mbinu ya CCM kuzima mjadala wa Katiba
UKIANZA na uwongo lazima kuendelea kuusema hadi mwisho. Wataalamu husema kwamba “kuulinda uwongo ni gharama kubwa sana.” Mchakato wa katiba haramu ya CCM ulianza na fitina, vitisho na uwongo na...
10 years ago
Mtanzania11 Apr
Azam kuiliza Mtibwa leo?
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), Azam FC leo watashuka dimbani kuchuana vikali na Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa kwenye Uwanja wa Manungu, Morogoro.
Wenyeji wa pambano hilo Mtibwa, watawaalika mabingwa hao huku wakiwa na machungu ya kipigo cha bao 1-0 walichokipata Jumapili iliyopita dhidi ya Stand United katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga.
Azam ambao walilamizishwa sare ya bao...
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Nawashangaa mawaziri wakuu wenzangu waliostaafu, wakidai CCM miaka 50 hakuna kilichofanya-Jaji Warioba

Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba akihutubia wakazi wa Butiama ambapo aliwaeleza Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.(PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-MARA).
WAZIRI Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba, ameibuka katika kampeni za mgombea urais wa CCM Dk. John Magufuli na kusema kuwa anashangazwa na hatua ya mawaziri wakuu wenzake kuhama CCM na kudai hakuna kilichofanyika katika miaka 54 ya Uhuru.
Pamoja na hali hiyo amesema anajua wazi huenda hata wanachokifanya...
10 years ago
Michuzi
NAWASHANGAA MAWAZIRI WAKUU WENZANGU WALIOSTAAFU,WAKIDAI CCM MIAKA 50 HAKUNA KILICHOFANYA-JAJI WARIOBA

WAZIRI Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba, ameibuka katika kampeni za mgombea urais wa CCM Dk. John Magufuli na kusema kuwa anashangazwa na hatua ya mawaziri wakuu wenzake kuhama CCM na kudai hakuna kilichofanyika katika miaka 54 ya Uhuru.
Pamoja na hali hiyo amesema anajua wazi huenda hata wanachokifanya hawajui wajibu wao walipokuwa...