Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam kuiliza Mtibwa leo?

azam shangweNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

MABINGWA watetezi wa michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), Azam FC leo watashuka dimbani kuchuana vikali na Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa kwenye Uwanja wa Manungu, Morogoro.
Wenyeji wa pambano hilo Mtibwa, watawaalika mabingwa hao huku wakiwa na machungu ya kipigo cha bao 1-0 walichokipata Jumapili iliyopita dhidi ya Stand United katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga.
Azam ambao walilamizishwa sare ya bao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Azam FC yaiadhibu Mtibwa Sugar leo,yaichapa bao 5-2


Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao lao la tano dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Azama Complex jijini Dar es Salaam. Azam ilishinda 5-2. (Picha na Francis Dande)
 Mshambuliaji wa Azam FC, Salum Abubakar akimiliki mpira.
 Frank Domayo (shoto) akichuana na beki wa Kagera Sugar, Mussa Nampaka.
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao la kwanza la timu hiyo.
Kipre Tchetche akimiliki mpira.
 Frank Domayo akishangilia bao lake.

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

GPL

JAJI WARIOBA KUILIZA AU KUIPA KICHEKO CCM LEO

Jaji Joseph Warioba. Ni rasimu ya pili mfumo wa Muungano.
Nape: Tusubiri tuone kitakachotokea. Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo itakabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, rasimu ya pili na ya mwisho ya katiba mpya, huku Watanzania wengi wakisubiri kwa hamu kubwa kuona inapendekeza muundo gani wa Muungano baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukataa serikali tatu....

 

10 years ago

TheCitizen

Mtibwa, Azam in must-win duel

Mtibwa Sugar and Azam FC face a must-win situation when they square up in their Vodavcom Premier League match at Manungu ground in Turiani in Morogoro today.

 

10 years ago

TheCitizen

Tricky duels for Azam, Mtibwa

Dar es Salaam. An arduous task awaits draw-prone Azam FC today as the battle for the Mainland’s soccer supremacy continues with two matches on the menu at different venues.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yaichakaza Mtibwa Sugar

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Azam wamelizamisha jahazi la Mtibwa Sugar kwa kuichapa mabao 5-2 jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

 

10 years ago

TheCitizen

Mtibwa plot Azam FC ambush

Mtibwa Sugar will try to recover from their 2-0 defeat by Young Africans when they face defending champions Azam FC in the Vodacom Premier League match at the Azam Complex today. Both teams wi

 

11 years ago

GPL

Azam, Mtibwa kunogesha Tamasha la Matumaini

Kikosi cha timu ya Azam, FC Na Khadija Mngwai
TIMU za Azam FC na Mtibwa Sugar, zinatarajiwa kunogesha Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu jijini Dar es Salaam kwa kushuka dimbani siku hiyo kuonyeshana ubabe. Tamasha hilo litahusishwa na burudani kibao ikiwa ni pamoja na mechi za Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa upande wa Simba na Yanga ambao wataonyeshana ubabe kwa kujua nani...

 

9 years ago

Habarileo

Mtibwa yabanwa, Azam yaipumulia Yanga

WAKATI Mtibwa Sugar jana ikishindwa kung’ara Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, Azam imeendelea kukabana na Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani