Kinana kukutana na wabunge CCM
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema anakusudia kukutana na wabunge wote wa chama hicho, ili kupata ufumbuzi wa malalamiko ya wafanyabiashara nchini kuhusu mashine za kieletroniki (EFDs) za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Kinana awavaa wabunge CCM
Awataka wasisubiri kuaibishwa, wajipimeLeizer aibua mapya, kubwaga manyanga
NA WAANDISHI WETU, LONGIDO
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wabunge wake kujipima kama wanatosha kabla ya kuingia tena kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kazi ya kuwatumikia wananchi.
Sambamba na hiyo, CCM imewaonya wabunge kuanza kujiengua ili kulinda heshima zao ndani na nje ya Chama.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alitoa agizo hilo juzi wakati akizungumza na wakazi wa Helendeke katika Mji Mdogo wa Namanga...
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kinana awapa rungu wabunge CCM
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana amewapa rungu wabunge wa chama hicho, kwa kutaka wahakikishe hawapitishi kila kitu, hasa sheria zinazowasilishwa bungeni na mawaziri, wakibaini hazina maslahi kwa wananchi na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RGeH3G5eqHw/U9XfaqTmJCI/AAAAAAAAGho/UwGVP4jLRgs/s72-c/IMG-20140727-WA0034.jpg)
WABUNGE VIJANA JOSHUA NASSARI NA STEPHEN MASELE KUKUTANA NA RAIS OBAMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-RGeH3G5eqHw/U9XfaqTmJCI/AAAAAAAAGho/UwGVP4jLRgs/s1600/IMG-20140727-WA0034.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_5Zx4HI_EzI/U9XfbD_l_wI/AAAAAAAAGh4/dxd9wFucjdg/s1600/IMG-20140727-WA0033.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6_gUmvmG0lY/U9XfdcluYEI/AAAAAAAAGiY/8IBxWxkYWMs/s1600/IMG-20140727-WA0038.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cNvV-bE3bvk/U9XfeEF0Z4I/AAAAAAAAGig/oJdjcMupE88/s1600/IMG-20140727-WA0039.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KVKgSvGgv30/XmjHXWj0JlI/AAAAAAALikE/rz-72KPl9r87UWHK1_YuXUSuIIq9tXbCwCLcBGAsYHQ/s72-c/dcf02ddb-6573-4799-a215-bf25f73e798c.jpg)
MBUNGE WA VITI MAALUM MARIAM DITOPILE KUWAKILISHA VIJANA JIJINI LONDON,KUKUTANA NA WABUNGE MBALIMBALI JIJINI HUMO
Pia mafanikio ya Mambo ya Lishe huku Uingereza akiwa mdau mkubwa kupiga Dfid na kuomba waendelee kuunga mkono juhudi za serikali kwani mambo yanayofanyika ni makubwa mno.Pia kwa kipekee jana...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Kamati Kuu CCM kukutana leo
10 years ago
Habarileo13 Jan
Kamati Kuu ya CCM kukutana leo
WAJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM wanakutana leo katika ukumbi wa makao makuu ya CCM Kisiwandui mjini hapa chini ya mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pHtt_seVB5U/VVc5M-phWhI/AAAAAAAHXpQ/HpOBLtXYA2M/s72-c/_MG_3099.jpg)
KAMATI KUU YA CCM KUKUTANA MEI 23,DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHtt_seVB5U/VVc5M-phWhI/AAAAAAAHXpQ/HpOBLtXYA2M/s640/_MG_3099.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7QBW6DNpgc/VVc5PTcGkOI/AAAAAAAHXpY/zPV_81Skivo/s640/_MG_3030.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Oct
NEC CCM kukutana Dodoma wiki hii
SIKU chache baada ya kumalizika kwa Bunge Maalumu la Katiba, macho na masikio ya wakazi wa mkoani hapa yanatarajiwa kuhamia katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakayofanya vikao vyake mjini hapa mwishoni mwa wiki.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10