Mabaki ya MH 17 kurejeshwa Uholanzi
mabaki ya ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH 17 yaliyookotwa huko mashariki mwa Ukraine hatimaye yanarejeshwa Uholanzi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo513 Jul
Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia
10 years ago
Habarileo21 Dec
Watoro kusakwa na kurejeshwa shule
SERIKALI mkoa wa Rukwa imeagiza watoto, waliokatiza masomo yao kwa utoro wasakwe na kurejeshwa shuleni mara moja.
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Wafurahi mgombea Chadema kurejeshwa
NA EMMANUEL IBRAHIM
WANANCHI wa Geita Mjini wamesema wamefurahia kurudishwa jina la mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema, Rogers Luhega, kwa vile amekuwa mtetezi wa masuala ya maji na wachimbaji wadogo migodini.
Wlikuwa wakizungumza juzi wakati wanatoka kumsindikiza mgombea huyo kurudisha fomu ya kuwania jimbo hilo ambalo kwa muda mrefu linashikiliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kwa mujibu wa wananchi hao, mbali na changamoto zinazowakabili, wilaya na Mkoa wa Geita ni miongoni mwa maeneo...
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Mamilioni ya dola kurejeshwa Switzerland
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Wambura kurejeshwa tena leo?
KAMATI ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inatarajiwa kukutana leo mchana kupitia rufaa ya mgombea wa nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, anayepinga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaiF1Kr7Q13BLDhCNLhuh1oteu6Ss6TPdc6Ds1OU*paiuIJuEDx0kMqd6Na4FYkicc4F1LBsuyy2sWdduU9VOI7x/bobbikristinab768.jpg?width=650)
BOBBI KRISTINA KUREJESHWA NYUMBANI
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s72-c/Bernad-Membe-300x214.jpg)
Watanzania waishio Yemen kurejeshwa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imedhamiria kuwarudisha nchini Watanzania waishio Yemeni, kutokana na mapigano yanayoendelea nchini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh.
![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s1600/Bernad-Membe-300x214.jpg)
Alisema ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa Watanzania hao ambao wengi ni wanafunzi, wanarudi nchini wakiwa salama.
Membe alisema awamu ya kwanza ya kuwarudisha ilifanyika hivi karibuni chini ya uratibu...
10 years ago
Habarileo30 Jun
Wanaotakiwa Uganda wagoma kurejeshwa
WATU wawili wanaodaiwa kuwa wafuasi wa kundi la Uasi la ADF, wamegoma kurudishwa nchini kwao wakashitakiwe, na kuiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kupeleka jambo hilo kwa Waziri wa Katiba na Sheria kwa kuwa halina uhusiano wowote na kesi ya mauaji nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ufaransa kuchunguza mabaki ya ndege