Wafurahi mgombea Chadema kurejeshwa
NA EMMANUEL IBRAHIM
WANANCHI wa Geita Mjini wamesema wamefurahia kurudishwa jina la mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema, Rogers Luhega, kwa vile amekuwa mtetezi wa masuala ya maji na wachimbaji wadogo migodini.
Wlikuwa wakizungumza juzi wakati wanatoka kumsindikiza mgombea huyo kurudisha fomu ya kuwania jimbo hilo ambalo kwa muda mrefu linashikiliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kwa mujibu wa wananchi hao, mbali na changamoto zinazowakabili, wilaya na Mkoa wa Geita ni miongoni mwa maeneo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BW9opX4BqT0/VcC0-sQwxII/AAAAAAAHt3w/yzrGcN088s0/s72-c/MMGL0331.jpg)
MKUTANO MKUU WA CHADEMA WAMPITISHA BILA KUPINGWA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BW9opX4BqT0/VcC0-sQwxII/AAAAAAAHt3w/yzrGcN088s0/s640/MMGL0331.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aS4lc3hgu8o/VcC0-PsoIDI/AAAAAAAHt3o/71rMRImzqnU/s640/MMGL0055.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-H4LsJm9kCfg/VcDmoJ-VPWI/AAAAAAABTIM/TGX2EGarUdI/s72-c/1.jpg)
YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO MKUU WA CHADEMA ULIOFANYIKA LEO NA KUWAPITISHA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4LsJm9kCfg/VcDmoJ-VPWI/AAAAAAABTIM/TGX2EGarUdI/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4s2j9y6cMRs/VcDmuVyAntI/AAAAAAABTJs/Q9tBx8YnPZc/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZQ5QjY5JuuU/VcDmvLhtmkI/AAAAAAABTJo/tV8_6cFI0Lc/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7MfTLZMyfc/VcDmvlQz-uI/AAAAAAABTJw/Xa5dh71Clrc/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fooSDRJP62Q/VcDmwWYau6I/AAAAAAABTKE/iF5gS2bmcAs/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aHavGADOhMQ/VcDmw5ZF_rI/AAAAAAABTKA/h4zEKWFlCyc/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gK8BiSdGPZ4/VcDmxvzkSwI/AAAAAAABTKI/94nBfdXje7Y/s640/7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
Mkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d-NZ6oQiLRo/VcCkcrv0CvI/AAAAAAAAA7s/nxyfyCpAQro/s640/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uKFbKWC5sec/VcCf0i5OouI/AAAAAAAAA7c/1jmDKwUOGqI/s640/1%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
10 years ago
MichuziCRDB ARUSHA WAFURAHI NA WATOTO
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Mgombea CHADEMA akacha
MGOMBEA nafasi ya Uenyekiti Taifa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Kansa Mbarouk, amedaiwa kuwakwepa viongozi wa chama hicho wanaotaka kumpa barua ya wito kufika kusikiliza ufafanuzi wa pingamizi lake...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Bunda wafurahi Wasira kujitosa urais
11 years ago
Habarileo06 Mar
Chadema wamtafuta mgombea wa Chalinze
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza mchakato wa kutafuta mgombea wa kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Chalinze, ambapo jana fomu za kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho zilianza kutolewa.
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Lowassa mgombea urais CHADEMA