Wanaotakiwa Uganda wagoma kurejeshwa
WATU wawili wanaodaiwa kuwa wafuasi wa kundi la Uasi la ADF, wamegoma kurudishwa nchini kwao wakashitakiwe, na kuiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kupeleka jambo hilo kwa Waziri wa Katiba na Sheria kwa kuwa halina uhusiano wowote na kesi ya mauaji nchini humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 May
Kamanda wa waasi wa ADF kurejeshwa Uganda
SERIKALI ya Tanzania inatarajia kumpeleka Uganda Kamanda wa Kikosi cha Waasi cha ADF cha Uganda, Jamil Mukumu aliyekuwa akitafutwa muda mrefu hapa nchini na Shirika la Kimataifa la Polisi (Interpol).
11 years ago
Michuzi20 Jul
WALIMU WANAOTAKIWA KUJIUNGA NA JKT WATAJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NGSbOkDCyQ4/U8aEW28itvI/AAAAAAAAAr4/-hHQ3Z8UdBE/s1600/E80A2604.jpg)
Walimu waliochaguliwa ni wa ngazi ya cheti ambao wamepangiwa vikosi vya kwenda.Kuangalia majina hayo tafadhali BOFYA hapo chini;
BUROMBOLA - KIGOMA
RWAMKOMA - MUSOMA
MSANGE - TABORA
KANEMBWA - KIGOMA
RUVU - PWANI
OLIJORO - ARUSHA
MGAMBO - TANGA
MARAMBA - TANGA
MAFINGA -...
9 years ago
MichuziWANAOTAKIWA KUSTAAFU WASIPEWE MIKATABA YA KUENDELEA NA KAZI SERIKALINI - MH. KAIRUKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GlJ9erjDuo4/VngOYJziRJI/AAAAAAAINtc/-7YKtdZ6FJM/s1600/STORY-WASTAAFU%2BWASIPEWE%2BMIKATABA%2BEDITED-page-001.jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mabaki ya MH 17 kurejeshwa Uholanzi
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Mamilioni ya dola kurejeshwa Switzerland
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaiF1Kr7Q13BLDhCNLhuh1oteu6Ss6TPdc6Ds1OU*paiuIJuEDx0kMqd6Na4FYkicc4F1LBsuyy2sWdduU9VOI7x/bobbikristinab768.jpg?width=650)
BOBBI KRISTINA KUREJESHWA NYUMBANI
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Wambura kurejeshwa tena leo?
KAMATI ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inatarajiwa kukutana leo mchana kupitia rufaa ya mgombea wa nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, anayepinga...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s72-c/Bernad-Membe-300x214.jpg)
Watanzania waishio Yemen kurejeshwa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imedhamiria kuwarudisha nchini Watanzania waishio Yemeni, kutokana na mapigano yanayoendelea nchini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh.
![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s1600/Bernad-Membe-300x214.jpg)
Alisema ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa Watanzania hao ambao wengi ni wanafunzi, wanarudi nchini wakiwa salama.
Membe alisema awamu ya kwanza ya kuwarudisha ilifanyika hivi karibuni chini ya uratibu...
10 years ago
Habarileo21 Dec
Watoro kusakwa na kurejeshwa shule
SERIKALI mkoa wa Rukwa imeagiza watoto, waliokatiza masomo yao kwa utoro wasakwe na kurejeshwa shuleni mara moja.