Serikali yaagiza Dk. Mwaka achunguzwe
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imemwagiza Mkurugenzi wa Baraza la Tiba Asili Tanzania kumfanyia uchunguzi tabibu Dk. Juma Mwaka ndani ya wiki moja ili kujua iwapo amekidhi vigezo vya kisheria.
Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangwala baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha Fore Plan Clinic kinachosimamiwa na Dk. Mwaka.
Alisema Dk. Mwaka amekuwa akitoa huduma ya matibabu kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Dec
Serikali yaagiza mafunzo kwa watangazaji
SERIKALI imeviagiza vyombo vyote vya utangazaji hapa nchini kuhakikisha wafanyakazi wao wanapatiwa mafunzo na kupewa ujuzi wa kufanya kazi kwa uadilifu.
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Serikali yaagiza shule zifungwe Kenya
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Serikali yaagiza deni la Sh700ml lilipwe haraka
11 years ago
Habarileo15 Feb
Serikali yaagiza Anuani za makazi mpaka maeneo yasiyopimwa
SERIKALI imeagiza Mpango wa utoaji wa vibao vya anuani za makazi na postikodi kuhakikisha unatoa majina kwa mitaa yote, ikiwamo maeneo yasiyopimwa pamoja na barabara zote nchini kuoneshwa wazi kwa kuandikwa.
10 years ago
Habarileo08 Dec
CCM yaagiza madiwani wake kujikita serikali za mitaa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani wake wote kushiriki kikamilifu katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa huku kikitishia kuwafukuza uanachama endapo watakiuka agizo hilo.
5 years ago
MichuziSerikali yaagiza Chuo cha Diplomasia kuongeza tafiti, machapisho
Maagizo hayo yametolewaleo jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano waAfrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) wakati alipotembelea chuo hicho kuongea na wahadhiri, wafanyakazi pamoja na wanafunzi.
Dkt. Ndumbaro amesema...
11 years ago
Michuzi16 Jun
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Wanasheria wataka Jecha achunguzwe
10 years ago
Mtanzania17 Sep
Kafulila: Tibaijuka achunguzwe mabilioni ya ITPL
![Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Tibaijuka](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Anna-Tibaijuka.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Tibaijuka
PATRICIA KIMELEMETA NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ametaka viongozi wa Serikali, Bunge na Mahakama wanaotajwa kulipwa fedha za IPTL zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow akiwamo Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Tibaijuka wahojiwe.
Alisema kuwa Profesa Tibaijuka ni mmoja wa viongozi wa Serikali ambaye amekiri kupewa fedha hizo, hivyo ni vyema vyombo...