Kafulila: Tibaijuka achunguzwe mabilioni ya ITPL
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Tibaijuka
PATRICIA KIMELEMETA NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ametaka viongozi wa Serikali, Bunge na Mahakama wanaotajwa kulipwa fedha za IPTL zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow akiwamo Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Tibaijuka wahojiwe.
Alisema kuwa Profesa Tibaijuka ni mmoja wa viongozi wa Serikali ambaye amekiri kupewa fedha hizo, hivyo ni vyema vyombo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Chenge, Tibaijuka, Kilaini walipuliwa mabilioni ya IPTL
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Wanasheria wataka Jecha achunguzwe
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Serikali yaagiza Dk. Mwaka achunguzwe
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imemwagiza Mkurugenzi wa Baraza la Tiba Asili Tanzania kumfanyia uchunguzi tabibu Dk. Juma Mwaka ndani ya wiki moja ili kujua iwapo amekidhi vigezo vya kisheria.
Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangwala baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha Fore Plan Clinic kinachosimamiwa na Dk. Mwaka.
Alisema Dk. Mwaka amekuwa akitoa huduma ya matibabu kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QPOkSzFrrLE/Xlz26FVA3cI/AAAAAAACz3I/sKHB4as4m-wRmMDZzINMECIXzy8LM1zowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU : MWEKA HAZINA MKINGA ACHUNGUZWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-QPOkSzFrrLE/Xlz26FVA3cI/AAAAAAACz3I/sKHB4as4m-wRmMDZzINMECIXzy8LM1zowCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Amesema hajaridhishwa na utendaji wake kwa kuwa ameshindwa kusimamia ukusanyaji wa mapato na hata hicho kidogo kinachokusanywa hakifikishwi Serikali.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumatatu, Machi 2, 2020) wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga pamoja na wananchi baada ya kufungua...
11 years ago
Habarileo14 Jul
Kafulila kizimbani
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s72-c/download+(1).jpg)
IPTL VS KAFULILA
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s1600/download+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a0paUbdf0yk/U8uveFNKgKI/AAAAAAAF4BU/-q7UbMw2l8Y/s1600/download+(2).jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Oct
Zanzibar inalipishwa mabilioni
Monday, April 07, 2014 Zanzibar wants own power generation OURS: The isle’s residents do not want to depend on the Mainland. MWANZA, Tanzania – Zanzibar government plans to generate its own power to avoid dependency on […]
The post Zanzibar inalipishwa mabilioni appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Mabilioni Uswisi yachotwa
9 years ago
Habarileo28 Sep
Marekani yaridhia mabilioni
TANZANIA imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) la Marekani, hivyo itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.