Mahakama yaagiza dawa ya Nurofen isiuzwe
Mahakama moja nchini Australia imepiga marufuku uuzaji wa dawa ya kichwa iitwayo Nurofen inayotengenzwa na kampuni ya Reckitt Benckiser
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Mahakama yaagiza wanawe Mubarak waachiliwe
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GO9Gkc7pmsg/VEYv9ecKBeI/AAAAAAAGsK8/y9G8-Yw8t0g/s72-c/halima_mdee.jpg)
MAHAKAMA YAAGIZA Halima MDEE NA WENZAKE KUHUDHURIA KESI YAO INAPOPANGWA KUSIKILIZWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GO9Gkc7pmsg/VEYv9ecKBeI/AAAAAAAGsK8/y9G8-Yw8t0g/s1600/halima_mdee.jpg)
Habari na Mwene Said wa Globu ya Jamii Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mhe Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu. Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TI4EUdeNYJ8/XvHnIzesV7I/AAAAAAALvD4/XPB6L_6sOXIbSulAmbQSOXCfatbC4WUEwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B2.18.12%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MAHAKAMA YAMFUTIA MASHTAKA MFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TI4EUdeNYJ8/XvHnIzesV7I/AAAAAAALvD4/XPB6L_6sOXIbSulAmbQSOXCfatbC4WUEwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B2.18.12%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia mashtaka Mfanyabiashara Mussa Mohamed aliyefikishwa mahakamani hapo leo Juni 23, 2020 akikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wakili wa Serikali, Sylvia Mitanto kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga kuwa upande wa mashtaka hauna nia ya kuendelea kumshitaki Mohamed kwa kosa hilo.
Aliomba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsmlvFYqxzmuQVEkX-s-wKTSl*Z-AYcMR4eO*wifNx*3185F8ty2hkZHO5CAVOAFP6pEpS-7Cy-2hs9ywvXiu1Og/KHKYUK.gif?width=650)
KIGOGO IKULU AZUIA NYUMBA YA JIDE ISIUZWE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wsx9hl5zZF8/VSr7BZK4MBI/AAAAAAAHQzM/IC7twqgbJkM/s72-c/download.jpg)
NAMNA YA KUOKOA NYUMBA ISIUZWE KWA KUSHINDWA KULIPA MKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-wsx9hl5zZF8/VSr7BZK4MBI/AAAAAAAHQzM/IC7twqgbJkM/s1600/download.jpg)
Uwepo wa sababu za kibinadamu zinazoweza ...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Serikali yaagiza Dk. Mwaka achunguzwe
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imemwagiza Mkurugenzi wa Baraza la Tiba Asili Tanzania kumfanyia uchunguzi tabibu Dk. Juma Mwaka ndani ya wiki moja ili kujua iwapo amekidhi vigezo vya kisheria.
Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangwala baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha Fore Plan Clinic kinachosimamiwa na Dk. Mwaka.
Alisema Dk. Mwaka amekuwa akitoa huduma ya matibabu kwa...
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.
10 years ago
Habarileo06 Dec
Serikali yaagiza mafunzo kwa watangazaji
SERIKALI imeviagiza vyombo vyote vya utangazaji hapa nchini kuhakikisha wafanyakazi wao wanapatiwa mafunzo na kupewa ujuzi wa kufanya kazi kwa uadilifu.
11 years ago
CloudsFM24 Jul
ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.
Umoja wa Mataifa umeelezea ghadhabu kutokana na Fatwa iliyotolewa na Kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa ISIS ya kuwataka wanawake wote waliozidi umri wa miaka 11 kukeketwa.
Afisa wa shirika la umoja wa mataifa nchini Iraq ,Jacqueline Badcock ameonya kuwa agizo hilo la kidini ama Fatwa itawaathiri zaidi ya wanawake milioni nne kati ya umri wa miaka 11-46.
ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa miaka 11-46 kukeketwa.
Bi Badcock alisema kuwa utamaduni huo ni jambo geni sana nchini Iraq na...