NAMNA YA KUOKOA NYUMBA ISIUZWE KWA KUSHINDWA KULIPA MKOPO
Na Bashir Yakub.
Wakopaji nao wana haki zao. Yapo mambo ya msingi ambayo wanapaswa kuyajua ili yawalinde iwapo mambo yamewaendea vibaya. Ukweli ni kuwa ni busara unapokopa kulipa deni lakini iwapo sababu za kibinadamu zimejitokeza ambazo ziko nje ya uwezo wa mkopaji na ambazo kwa namna yoyote hawezi kuzizuia basi ni vema mkopaji awe na njia ya kujiokoa yeye pamoja na mali yake.Uwepo wa sababu za kibinadamu zinazoweza ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNyumba ya Capt.John Komba iliyopo Dar es Salaam yapigwa Mnada Baada ya Kushindwa Kulipa Deni
Nyumba ya Mbunge wa Mbinga Magharibi Kapteni Mstaafu, John Komba (CCM), yapigwa mnada. Nyumba hiyo ipo Kinondoni Maeneo ya Mbezi katika Jimbo la Kawe. Nyumba hiyo ipo katika kitalu namba 1030. Habari hii imechapishwa kwenye Gazeti la The Guardian la leo ukurasa wa 11.Siku za nyuma Komba alikua anadaiwa na bank ya CRDB millioni 900 aloshindwa kulipa. Hapo nyuma alijenga Shule inayooitwa Bakil Muluzi kule maeneo ya Mbweni, lakini biashara haikwenda vizuri. Ile Shule haifanyi vyema sana...
11 years ago
Habarileo17 Feb
Auawa kwa kushindwa kulipa 500/-
MATUKIO ya mauaji ya kikatili yameendelea kutokea wilayani hapa, ambapo mtu mmoja, mkazi wa kijiji cha Kazila, ameuawa na mdai wake kwa kushindwa kulipa deni la Sh 500 baada ya kula nyama ya nguruwe, maarufu kama ‘kitimoto’. Charles Abel (20) aliuawa kwa kupigwa na kipande cha kuni tumboni na muuzaji wa nyama hiyo, Gosbert Frednand (19).
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Polisi watimuliwa kwa kushindwa kulipa kodi
Polisi wa Kituo cha Nkome wilayani Geita, hawana mahala pa kuishi wala kufanyia shughuli zao za kiofisi, baada ya kutimuliwa na mmiliki wa nyumba waliyopanga kutokana na Serikali ya Kijji cha Nkome kushindwa kulipa kodi kwa miaka mitatu ya Sh3.3 milioni.
10 years ago
GPLKIGOGO IKULU AZUIA NYUMBA YA JIDE ISIUZWE
Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KISMATI! Ile nyumba ya nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyopo Mivumoni, Kinondoni jijini Dar es Salaam, iliyowekwa mnadani zaidi ya mwezi mmoja uliopita, imezuiwa kupigwa bei na kigogo mmoja wa ikulu, Risasi Mchanganyiko lina full data. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1OPGuh8 ...
10 years ago
Michuzinews alert: bondia floyd mayweather avuliwa mkanda kwa kushindwa kulipa ada ya pambano wake na Manny Pacquiao
Na Sultani KipingoBingwa wa dunia wa masumbi Floyd Mayweather (kushoto) amevuliwa mkanda wa WBO alioupata baada ya kumshinda Manny (kulia)
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...
10 years ago
MichuziMAKALA YA SHERIA: BENKI HAIWEZI KUUZA NYUMBA KWA MKOPO AMBAO MMOJA WA WANANDOA HAKUSHIRIKI
Na Bashir Yakub.
Ukisoma kichwa cha habari utaona nimeongelea nyumba lakini kimsingi mchakato huu unahusisha mali zote za wanandoa vikiwemo viwanja, magari, na kila kitu ambacho ni mali ya wanandoa. Kichwa kinajieleza kuwa ni makosa benki au taasisi yoyote ya fedha kuuza nyumba au mali yoyote ya wanandoa ikiwa wakati wa kuchukua mkopo mwanandoa mmojawapo hakushirikishwa katika mchakato wa mkopo huo.
1. MAANA YA MALI YA...
Ukisoma kichwa cha habari utaona nimeongelea nyumba lakini kimsingi mchakato huu unahusisha mali zote za wanandoa vikiwemo viwanja, magari, na kila kitu ambacho ni mali ya wanandoa. Kichwa kinajieleza kuwa ni makosa benki au taasisi yoyote ya fedha kuuza nyumba au mali yoyote ya wanandoa ikiwa wakati wa kuchukua mkopo mwanandoa mmojawapo hakushirikishwa katika mchakato wa mkopo huo.
1. MAANA YA MALI YA...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Namna ya kukabiliana na tatizo la moyo kushindwa kufanya kazi
>Magonjwa ya moyo yameshika kasi hapa nchini kiasi cha kutishia uhai wa watu wengi.
9 years ago
MichuziAMRI YA KUTOUZA NYUMBA YA MKOPO HAIKATIWI RUFAA.
KUSOMA ZAIDI kliks goes to sheriayakub.blogspot.comNa Bashir Yakub Mara kadhaa mkopaji anaposhindwa kulipa mkopo hukimbilia mahakamani ili kuona kama anaweza kupata unafuu hasa linapokuja suala la wakopeshaji wake kutaka kuuza nyumba/kiwanja alichoweka rehani.
Ni ukweli usiopingika kuwa hatua hii imewasaidia wengi hasa wale wanaowahi. Yapo makala tuliwahi kuandika kuhusu hatua za kuchukua hasa inapotokea kuwa ...
Ni ukweli usiopingika kuwa hatua hii imewasaidia wengi hasa wale wanaowahi. Yapo makala tuliwahi kuandika kuhusu hatua za kuchukua hasa inapotokea kuwa ...
10 years ago
MichuziZIJUE ADA UNAZOTAKIWA KULIPA UNAPOTAFUTA/ KUBADILI HATI YA NYUMBA/KIWANJA.
Na Bashir Yakub.
Watu wengi wanaonunua ardhi wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa katika kubadili majina yaani kutoka mmiliki wa mwanzo kwenda kwa mmilki mpya aliyenunua. Upo usumbufu ambao husababishwa kwa makusudi na maafisa wanaohusika lakini pia upo usumbufu ambao husababishwa na watu wenyewe wanaotaka kubadili majina.
K,Wengi huanza muamala huu bila kuwa na taarifa kamili za nini kinahitajika kwa maana ya nyaraka ikiwemo ada au ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania