AMRI YA KUTOUZA NYUMBA YA MKOPO HAIKATIWI RUFAA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0coKmBaE1kI/Vgyu87qKKOI/AAAAAAAH7-U/7tXc3HHlpPA/s72-c/download.jpg)
KUSOMA ZAIDI kliks goes to sheriayakub.blogspot.comNa Bashir Yakub
Ni ukweli usiopingika kuwa hatua hii imewasaidia wengi hasa wale wanaowahi. Yapo makala tuliwahi kuandika kuhusu hatua za kuchukua hasa inapotokea kuwa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wsx9hl5zZF8/VSr7BZK4MBI/AAAAAAAHQzM/IC7twqgbJkM/s72-c/download.jpg)
NAMNA YA KUOKOA NYUMBA ISIUZWE KWA KUSHINDWA KULIPA MKOPO
![](http://3.bp.blogspot.com/-wsx9hl5zZF8/VSr7BZK4MBI/AAAAAAAHQzM/IC7twqgbJkM/s1600/download.jpg)
Uwepo wa sababu za kibinadamu zinazoweza ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Gg2Oajm5Dy0/VSYEmpt_NLI/AAAAAAAHPo4/D5kuWupbBvo/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: BENKI HAIWEZI KUUZA NYUMBA KWA MKOPO AMBAO MMOJA WA WANANDOA HAKUSHIRIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gg2Oajm5Dy0/VSYEmpt_NLI/AAAAAAAHPo4/D5kuWupbBvo/s1600/images.jpeg)
Ukisoma kichwa cha habari utaona nimeongelea nyumba lakini kimsingi mchakato huu unahusisha mali zote za wanandoa vikiwemo viwanja, magari, na kila kitu ambacho ni mali ya wanandoa. Kichwa kinajieleza kuwa ni makosa benki au taasisi yoyote ya fedha kuuza nyumba au mali yoyote ya wanandoa ikiwa wakati wa kuchukua mkopo mwanandoa mmojawapo hakushirikishwa katika mchakato wa mkopo huo.
1. MAANA YA MALI YA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s72-c/download.jpg)
JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s1600/download.jpg)
9 years ago
Habarileo12 Oct
Waaswa kutouza kadi za kupigia kura
WAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kuzitunza kadi zao za kupigia kura na kukataa kurubuniwa ili waziuze, kwani wakifanya hivyo watashindwa kuwachagua viongozi wanaowataka.
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Zimbabwe yatakiwa kutouza ndovu wachanga
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vNyHFm199ys/UvwlCJFX_LI/AAAAAAAFMtY/8XmhmlH3bHM/s72-c/te1.jpg)
TANZANIA KUTOUZA AKIBA YA MENO YA TEMBO ILIYONAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-vNyHFm199ys/UvwlCJFX_LI/AAAAAAAFMtY/8XmhmlH3bHM/s1600/te1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qRuvgMAEt88/UvwlCLyev1I/AAAAAAAFMtc/Yk1mnbsSAZo/s1600/te2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Shirika la Nyumba NHC lazindua uuzaji wa nyumba za mradi wa 711 Kawe
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu Kyando akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa uuzaji wa nyumba za mradi wa 711 uliopo Kawe jijini Dar es salaam, Nyumba hizi ziko kwenye majengo 7 yenye ghorofa 11 kila moja ambayo yanatarajiwa kuchukua watu 1000 kwa na huu ni utangulizi wa ujenzi wa mji mpya wa kisasa unaotarajiwa kujengwa eneo la Tanganyika Pakers Kawe jijini Dar es salaam ambao ukikamilika utaweza kuchukua watu 15000.
Watu wanaohitaji kununua...
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Facts Production kuuza filamu zake nyumba kwa nyumba
NA HERIETH FAUSTINE
KAMPUNI ya Facts Production inatarajia kuanza kusambaza filamu yake mpya ya ‘Niliyemchagua’ kwa mfumo wa nyumba kwa nyumba.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mohammed Kazi ‘Mudy Kazi’ alisema ameamua kufanya hivyo ili kutoa nafasi ya wasiopata muda wa kwenda kununua CD za filamu hiyo katika maduka makubwa waweze kununua wakiwa nyumbani kwao.
“Lakini pia tumeona ni vizuri kwa kuwa itasaidia kuwatambulisha wasanii wetu chipukizi ambao wana uwezo mkubwa kuliko wasanii wenye majina...