TANZANIA KUTOUZA AKIBA YA MENO YA TEMBO ILIYONAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-vNyHFm199ys/UvwlCJFX_LI/AAAAAAAFMtY/8XmhmlH3bHM/s72-c/te1.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akifanya mahojiano na Mwandishi wa Gazeti la The Independent la Nchini Uingereza kuhusiana na juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali katika Vita Dhidi ya Ujangili nchini.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (kati) akimtambulisha Mshauri wa Masuala ya Vyombo vya Habari nchini Uingereza Bw. David Tarsh (kulia) kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Benard Membe jijini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Jan
Meno ya tembo 81 yakamatwa Tanzania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYlv9Z3nXF3jwBvVRZTIeDXsbZR27HwEmr2VG64XQCtosSAHVNaI-mOkEM5ZxWRHLfrr4bzgmBRHqjwdeLHsx36o/unnamed1.jpg?width=650)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-chaPuUbmfNw/U3RZ9DrmYEI/AAAAAAAFhxg/RMJ66Jk1TZg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Tanzania kitovu ujangili meno ya tembo EAC
11 years ago
Mwananchi15 May
Ripoti: Tanzania kinara biashara meno ya tembo
10 years ago
StarTV04 Mar
Tanzania yaipongeza China kudhibiti biashara meno ya Tembo.
Na Immaculate Kilulya,
Dar es Salaam.
Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kupiga marufuku uingizwaji wa bidhaa zote zitokanazo na meno ya Tembo kutoka sehemu yoyote duniani kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa kusema hatua hiyo itasaidia kumaliza mauaji ya wanyama hao.
Uamuzi huo wa China unatokana na ushawishi wa Viongozi wa Afrika chini ya Rais Jakaya Kikwete na mataifa washiriki duniani ya Amerika, Ujerumani, Jumuiya ya Ulaya, Uingereza na Serikali ya...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Mwandishi Uingereza aibua mapya meno ya tembo Tanzania
10 years ago
Vijimambo05 Aug
Meno ya Tembo yakamatwa Zurich yakitokea Tanzania kwenda China
Confiscated Ivory displayed at Zurich Airport in Kloten on Tuesday, Aug. 4 , 2015. Swiss authorities say customs officials at Zurich airport have seized 262 kilograms (578 pounds) of ivory that three Chinese men had dispatched from Tanzania. Switzerland's customs authority said Tuesday that the ivory — found during a security check on July 6 and packed in eight suitcases — had an estimated black market value of about 400,000 francs (US $413,000). (Walter Bieri/Keystone via AP)
BERLIN (AP) —...