Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zimbabwe yatakiwa kutouza ndovu wachanga

Serikali ya Zimbabwe inakabiliwa na shinikizo kali za kuitaka isitishe uuzaji wa ndovu wachanga kwenda nchini China na Dubai.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Sumu yatumika kuua ndovu 60 Zimbabwe

Wawindaji haramu wamewaua ndovu 60 kwa kutumia sumu aina ya Cynide katika mbuga kubwa ya wanyama nchini Zimbabwe

 

9 years ago

Habarileo

Waaswa kutouza kadi za kupigia kura

WAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kuzitunza kadi zao za kupigia kura na kukataa kurubuniwa ili waziuze, kwani wakifanya hivyo watashindwa kuwachagua viongozi wanaowataka.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA KUTOUZA AKIBA YA MENO YA TEMBO ILIYONAYO

 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akifanya mahojiano na Mwandishi wa Gazeti la The Independent la Nchini Uingereza kuhusiana na juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali katika Vita Dhidi ya Ujangili nchini.  Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (kati) akimtambulisha Mshauri wa Masuala ya Vyombo vya Habari nchini Uingereza Bw. David Tarsh (kulia) kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Benard Membe jijini...

 

9 years ago

Michuzi

AMRI YA KUTOUZA NYUMBA YA MKOPO HAIKATIWI RUFAA.

                         KUSOMA  ZAIDI  kliks  goes  to  sheriayakub.blogspot.comNa  Bashir  Yakub

Mara  kadhaa  mkopaji  anaposhindwa  kulipa  mkopo  hukimbilia  mahakamani  ili  kuona  kama  anaweza  kupata unafuu  hasa linapokuja  suala  la  wakopeshaji  wake  kutaka  kuuza    nyumba/kiwanja  alichoweka  rehani. 
Ni  ukweli  usiopingika  kuwa  hatua  hii  imewasaidia  wengi  hasa  wale  wanaowahi.  Yapo  makala   tuliwahi  kuandika kuhusu  hatua  za kuchukua  hasa  inapotokea  kuwa ...

 

5 years ago

Mwananchi

Wanasayansi wachanga watakiwa kuandaliwa

Wakati Serikali ya awamu ya tano ikiweka mkazo  kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda wadau wameshauri nguvu hiyo pia itumike kuwaandaa wanasayansi wachanga.

 

9 years ago

Bongo5

Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa

Muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay amewaka wasanii wachanga kuepuka tamaa za mafanikio ya haraka. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alijitahidi kupambana na watu ambao walikuwa wanajaribu kumlaghai ili wampoteze. “Unajua watu wanavyokuona sehemu wanaweza wakakulaghai ili uone hapafai,”amesema. “Mimi nimekutana na watu kama hao, sana lakini kwenye kichwa changu nilikuwa naamini ninachokifanya. Pia tamaa […]

 

10 years ago

Mwananchi

UKATILI WA KIJINSIA: ‘Idadi ya watoto wachanga wanaokeketwa inaongezeka’

>Wakati serikali ikiongeza nguvu katika kupambana na utamaduni wa ukeketaji, Shirika la Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) limesema idadi ya watoto chini ya mwaka mmoja wanaokeketwa imeongezeka kwa asilimia 10 nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste aanza kutoa semina kwa wasanii wachanga

Rapper Mabeste ameanzisha semina za kuelimisha wasanii wachanga pamoja na watu wa kawaida kupitia changamoto alizozipitia katika maisha ya muziki wake. Mabeste ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshaanza semina hizo katika mkoa wa Morogoro. “Mimi hapa nilipofika nimeona nina mapungufu mengi ambayo yamesababisha nishindwe kufikia malengo yangu katika muda muafaka,” amesema. “Nimeona nikikaa na mtu ambaye […]

 

10 years ago

Vijimambo

PAUL LOOPS NA BEATSTAPE YA KUWASAIDIA WASANII WACHANGA WA HIPHOP

hi... short story kuhusu mimi na hii hiphop beats mixtape kwa ajili ya kuwasupport wasanii wachanga wasio na uwezo kwenye hiphop...

kimziki wananiita Paul oops ...have been working at b records material tabata segerea na chizn brain,... nishafanya beats na couple of artists wakubwa humu nchini, moja ngoma ambayo zimefanya vizuri ni no bifu ya marehemu mngwea ft tid.. na ambazo zipo kwa sasa ni pamoja na leo ya mwasiti ft godzilla na no love ya mdplant ft mrap na country boy...

Lengo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani