Zimbabwe yatakiwa kutouza ndovu wachanga
Serikali ya Zimbabwe inakabiliwa na shinikizo kali za kuitaka isitishe uuzaji wa ndovu wachanga kwenda nchini China na Dubai.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Sumu yatumika kuua ndovu 60 Zimbabwe
Wawindaji haramu wamewaua ndovu 60 kwa kutumia sumu aina ya Cynide katika mbuga kubwa ya wanyama nchini Zimbabwe
9 years ago
Habarileo12 Oct
Waaswa kutouza kadi za kupigia kura
WAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kuzitunza kadi zao za kupigia kura na kukataa kurubuniwa ili waziuze, kwani wakifanya hivyo watashindwa kuwachagua viongozi wanaowataka.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vNyHFm199ys/UvwlCJFX_LI/AAAAAAAFMtY/8XmhmlH3bHM/s72-c/te1.jpg)
TANZANIA KUTOUZA AKIBA YA MENO YA TEMBO ILIYONAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-vNyHFm199ys/UvwlCJFX_LI/AAAAAAAFMtY/8XmhmlH3bHM/s1600/te1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qRuvgMAEt88/UvwlCLyev1I/AAAAAAAFMtc/Yk1mnbsSAZo/s1600/te2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0coKmBaE1kI/Vgyu87qKKOI/AAAAAAAH7-U/7tXc3HHlpPA/s72-c/download.jpg)
AMRI YA KUTOUZA NYUMBA YA MKOPO HAIKATIWI RUFAA.
KUSOMA ZAIDI kliks goes to sheriayakub.blogspot.com
Na Bashir Yakub Mara kadhaa mkopaji anaposhindwa kulipa mkopo hukimbilia mahakamani ili kuona kama anaweza kupata unafuu hasa linapokuja suala la wakopeshaji wake kutaka kuuza nyumba/kiwanja alichoweka rehani.
Ni ukweli usiopingika kuwa hatua hii imewasaidia wengi hasa wale wanaowahi. Yapo makala tuliwahi kuandika kuhusu hatua za kuchukua hasa inapotokea kuwa ...
![](http://1.bp.blogspot.com/-0coKmBaE1kI/Vgyu87qKKOI/AAAAAAAH7-U/7tXc3HHlpPA/s1600/download.jpg)
Ni ukweli usiopingika kuwa hatua hii imewasaidia wengi hasa wale wanaowahi. Yapo makala tuliwahi kuandika kuhusu hatua za kuchukua hasa inapotokea kuwa ...
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Wanasayansi wachanga watakiwa kuandaliwa
Wakati Serikali ya awamu ya tano ikiweka mkazo kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda wadau wameshauri nguvu hiyo pia itumike kuwaandaa wanasayansi wachanga.
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
Muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay amewaka wasanii wachanga kuepuka tamaa za mafanikio ya haraka. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alijitahidi kupambana na watu ambao walikuwa wanajaribu kumlaghai ili wampoteze. “Unajua watu wanavyokuona sehemu wanaweza wakakulaghai ili uone hapafai,”amesema. “Mimi nimekutana na watu kama hao, sana lakini kwenye kichwa changu nilikuwa naamini ninachokifanya. Pia tamaa […]
10 years ago
Mwananchi13 Feb
UKATILI WA KIJINSIA: ‘Idadi ya watoto wachanga wanaokeketwa inaongezeka’
>Wakati serikali ikiongeza nguvu katika kupambana na utamaduni wa ukeketaji, Shirika la Idadi ya Watu Duniani (UNFPA) limesema idadi ya watoto chini ya mwaka mmoja wanaokeketwa imeongezeka kwa asilimia 10 nchini.
9 years ago
Bongo526 Oct
Mabeste aanza kutoa semina kwa wasanii wachanga
Rapper Mabeste ameanzisha semina za kuelimisha wasanii wachanga pamoja na watu wa kawaida kupitia changamoto alizozipitia katika maisha ya muziki wake. Mabeste ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshaanza semina hizo katika mkoa wa Morogoro. “Mimi hapa nilipofika nimeona nina mapungufu mengi ambayo yamesababisha nishindwe kufikia malengo yangu katika muda muafaka,” amesema. “Nimeona nikikaa na mtu ambaye […]
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-aOOKcw1RQ0s/VYbIYinsSHI/AAAAAAADtCs/FjwuEiZAs8Y/s72-c/1149659_585183708212907_675930370_o.jpg)
PAUL LOOPS NA BEATSTAPE YA KUWASAIDIA WASANII WACHANGA WA HIPHOP
![](http://2.bp.blogspot.com/-aOOKcw1RQ0s/VYbIYinsSHI/AAAAAAADtCs/FjwuEiZAs8Y/s640/1149659_585183708212907_675930370_o.jpg)
kimziki wananiita Paul oops ...have been working at b records material tabata segerea na chizn brain,... nishafanya beats na couple of artists wakubwa humu nchini, moja ngoma ambayo zimefanya vizuri ni no bifu ya marehemu mngwea ft tid.. na ambazo zipo kwa sasa ni pamoja na leo ya mwasiti ft godzilla na no love ya mdplant ft mrap na country boy...
Lengo la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania