Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumu yatumika kuua ndovu 60 Zimbabwe

Wawindaji haramu wamewaua ndovu 60 kwa kutumia sumu aina ya Cynide katika mbuga kubwa ya wanyama nchini Zimbabwe

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe yatakiwa kutouza ndovu wachanga

Serikali ya Zimbabwe inakabiliwa na shinikizo kali za kuitaka isitishe uuzaji wa ndovu wachanga kwenda nchini China na Dubai.

 

11 years ago

Mwananchi

Wagundua sumu ya kuua VVU mwilini

Timu ya Watafiti katika Chuo Kikuu cha North Carolina nchini Marekani, wamegundua aina ya sumu ambayo ina uwezo wa kuua seli ambazo zimekwishaathiriwa na Virusi Vya Ukimwi (VVU).

 

11 years ago

KwanzaJamii

TRUVADA yatumika kuzuia UKIMWI

WANAWAKE wanaofanya biashara ya kuuza miili na wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja sasa wanatumia dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi aina ya Truvada pichani juu kwa ajili ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo badala ya kutumia mipira ya kondomu. Baadhi ya wafanyabiashara ya ngono jijini katika maeneo ya Mwananyamala Hospitali, Komakoma na Vingunguti ambao walisema kuwa wanatumia dawa hizo kwa ajili ya kuzuia maambukizi ya VVU ili kuwaridhisha wateja wasiopendelea mipira...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sidiria yatumika kusafirisha 'unga'

Mwanamke muuza dawa za kulevya anakabiliwa na adhabu ya kifungo baada ya kukutwa amesheheni dawa za kulevya katika sidiria yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Gesi ya chlorine yatumika Syria

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linasema kuwa gesi ya chlorine ilitumika kwenye shambulizi mwezi uliopita nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Internet yatumika kuuza watoto China

Uchunguzi umebaini kuwepo matangazo ya kuuza watoto nchini China kwa njia ya Internet

 

11 years ago

Habarileo

Mabomu yatumika kuzima vurugu Moravian

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius WamburaJESHI la Polisi jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi, kutawanya waumini wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni, baada ya makundi mawili yanayovutana, kuibua vurugu kanisani hapo.

 

11 years ago

Habarileo

Bunduki ya FFU yatumika kwenye ujambazi

TUKIO la ujambazi ambalo liliua watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi, limechukua sura mpya baada ya silaha waliyokuwa wakitumia majambazi hao kugundulika kuwa ilikuwa ikimilikiwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Sospeter Peter Manyika ambaye kwa sasa yuko rumande.

 

11 years ago

Mwananchi

Dawa ya malaria yatumika kurembesha nywele

>Tabia ya kutumia vitu vyenye kemikali bila ya ushauri wa kitaalamu imeendelea kujijenga miongoni mwa Watanzania, ambapo sasa dawa ya malaria aina ya Metakelfin  inatumika kutengeneza kipodozi cha kurembesha nywele.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani