Bunduki ya FFU yatumika kwenye ujambazi
TUKIO la ujambazi ambalo liliua watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi, limechukua sura mpya baada ya silaha waliyokuwa wakitumia majambazi hao kugundulika kuwa ilikuwa ikimilikiwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Sospeter Peter Manyika ambaye kwa sasa yuko rumande.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
Mamilioni yatumika kwenye miradi ya maendeleo Udonja 2015-2020

Hayo yamebainishwa na Diwani wa kata ya udonja Hapnes Bomba wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa miaka mitano, ambapo amesema fedha hizo zimetolewa na serikali,mbunge wa...
10 years ago
Habarileo30 Aug
Polisi Ilala wachunguza ujambazi kwenye daladala
JESHI la Polisi limesema linachunguza tukio la uporaji wa Dola za Marekani 570 lililofanyika kwenye daladala katika eneo la Jangwani, jijini Dar es Salaam lililosababisha kifo na majeruhi.
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Gesi ya chlorine yatumika Syria
11 years ago
KwanzaJamii18 May
TRUVADA yatumika kuzuia UKIMWI
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Sidiria yatumika kusafirisha 'unga'
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Internet yatumika kuuza watoto China
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Sumu yatumika kuua ndovu 60 Zimbabwe
10 years ago
Habarileo09 Jun
Mabomu yatumika kuwadhibiti wanafunzi KIU
POLISI na askari wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Fujo (FFU) wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) baada ya wanafunzi wa Fani ya Afya kugoma kuondoka chuoni hapo wakifanya mkusanyiko kulalamikia kuwa fani wanayosoma haijasajiliwa.
11 years ago
Habarileo21 Jul
Mabomu yatumika kuzima vurugu Moravian
JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi, kutawanya waumini wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni, baada ya makundi mawili yanayovutana, kuibua vurugu kanisani hapo.