Mamilioni yatumika kwenye miradi ya maendeleo Udonja 2015-2020

Na Amiri Kilagalila,Njombe . Zaidi ya milioni mia nne ishirini na saba zimetumika katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya shule,barabara na madaraja kwa kipindi cha miaka mitano katika kata ya Udonja wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe
Hayo yamebainishwa na Diwani wa kata ya udonja Hapnes Bomba wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa miaka mitano, ambapo amesema fedha hizo zimetolewa na serikali,mbunge wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
MADIWANI KINONDONI WAMPONGEZA MEYA SITTA, MKURUGENZI KAGURUMJULI KWA KUFANYA VIZURI KWENYE MIRADI YA MAENDELEO
Pongezi hizo zimetolewa na Madiwani hao wakati wa kikao cha Baraza la madiwani robo ya tatu ya mwaka ambapo wamesema kuwa katika kipindi ambacho wamekuwa madiwani wameshuhudia miradi mikubwa ambayo imetekelezwa ikiwa ni juhudi kubwa zinazofanywa na viongozi...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) yashiriki Maonesho ya DAR PROPERTY 2015
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadick (katikati), akipata maelezo toka kwa banda la UTT-PID juu ya Miradi wanayofanya katika mikoa mbalimbali nchini, kulia ni Uli Mtebe Afisa Mwandamizi Mahusiano na Masoko wa Taasisi ya UTT-PID. Mkuu wa Mkoa huyo alitembelea banda hilo leo Mei 2, wakati wa ufunguzi wa maonyesho hayo ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee V.I.P Hall.
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) ipo kwenye...
11 years ago
Michuzi
MKUTANO WA MAJADILIANO KUHUSU UFADHILI WA MIRADI YA MAENDELEO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN KWA MWAKA 2014/2015.

.jpg)
10 years ago
Michuzi
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi



11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Mwenge kuzindua miradi ya mamilioni wilayani Gairo
NA MWANDISHI WETU, MOROGORO
MIRADI saba yenye thamani ya sh. milioni 510 inatarajiwa kuzinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi katika mbio za Mwenge wa Uhuru wilayani Gairo mkoani Morogoro.
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Khanifa Karamagi alisema hayo juzi wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Alisema Mwenge wa Uhuru utapokewa leo katika mpaka wa Mkoa wa Morogoro na Dodoma ukitokea wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Khanifa alisem kati ya miradi itakayozinduliwa katika wilaya hiyo ni...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Bunduki ya FFU yatumika kwenye ujambazi
TUKIO la ujambazi ambalo liliua watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi, limechukua sura mpya baada ya silaha waliyokuwa wakitumia majambazi hao kugundulika kuwa ilikuwa ikimilikiwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Sospeter Peter Manyika ambaye kwa sasa yuko rumande.
5 years ago
Michuzi
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Miradi inayobomoana ni ya maendeleo?
INAWEZEKANA Tanzania ikawa nchi ya kwanza duniani kwa kubuni miradi na kuibomoa ili kuanzisha miradi mipya kabla miradi iliyotangulia haijaonyesha matunda yoyote. Miradi mingi na mikubwa imekuwa ikibuniwa nchini na...
11 years ago
GPL
WOLPER ATUMIKA KWENYE UTAPELI WA MAMILIONI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10