Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miradi inayobomoana ni ya maendeleo?

INAWEZEKANA Tanzania ikawa nchi ya kwanza duniani kwa kubuni miradi na kuibomoa ili kuanzisha miradi mipya kabla miradi iliyotangulia haijaonyesha matunda yoyote. Miradi mingi na mikubwa imekuwa ikibuniwa nchini na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi

Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII

Na Mwandishi Wetu Arusha

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.

Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa inavyoathiri miradi ya maendeleo

Dar es Salaam. Pikipiki ya Kikosi cha Usalama Barabarani iliyokuwa inaongoza msafara wa kiongozi mmojawapo wa juu serikalini, inafunga breki ghafla baada ya kukata kona kuingia eneo mojawapo, Tabata jijini Dar es Salaam

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE KABATI ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

 Daktari wa Mifugo wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Augustino Nyenza akimwelekeza Mbunge wa viti maalum Lita Kabati mradi wa machinjia ya kisasa yaliyoko Ngelewala yaliyopo katika kata ya Isakalilo.  Mganga Mfawishi wa Hospitali ya wilaya ya Frelimo Dk. Hassan Mtani akitoa taarifa kuhusu hospitali hiyo mbele ya mbunge wa Viti maalum CCm Lita Kabati Baadhi ya wahudumu wa hospitali ya Frelimo Mbunge wa viti maalum CCM Lita Kabati akimpa pole mama aliyejifungua hospitalini hapo. Mbunge...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilwa kutumia bil. 28/- miradi ya maendeleo

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilwa inatarajia kutumia sh bilioni 28.6 katika mwaka wa fedha ujao kwa ajili ya miradi ya maendeleo itakayowashirikisha wadau. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...

 

11 years ago

Michuzi

MAFANIKIO YA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI ARUSHA

Afisa Miradi wa IFAD nchini Dkt. Mwatima Juma pamoja na waratibu wa miradi mbalimbali akitoa maelezo kwa wakulima (Kulia) wanaotumia Skimu ya Maji ya Kabambe iliyopo katika jinsi ya kujipanga katika kilimo na kutunza chanzo cha Skimu hiyo iliyopo katika Wilaya ya Monduli katika kata ya Majengo Mkoani Arusha. Skimu ya Maji ya Kabambe iliyojengwa katika Wilaya ya Monduli kata ya Majengo kuwasaidia wakulima kupata maji kwa ajili ya kilimo cha Mahindi, Ndizi na Mbogamboga, ikiwa ni sehemu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndaga watumia mil. 90/- miradi ya maendeleo

SERIKALI ya Kijiji cha Ndaga, Kata ya Isongole wilayani Rungwe mkoani Mbeya imetumia zaidi ya sh milioni 90 kujenga miradi ya maendeleo. Miongoni mwa miradi hiyo iliyotekelezwa kwa fedha zilizotokana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wadau wa maendeleo wafurahsihwa na shughuli za miradi Iringa

unnamed (4)

 

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiangalia ubora wa majani ya chai kwenye kiwanda cha Unilever walipofanya ziara ya kutembelea kiwanda hicho.

Na Mwandishi wetu, Iringa

UJUMBE mzito wa washirika katika maendeleo ya Tanzania jana umetembelea mkoa wa Iringa na kuona shughuli za viwanda vya Sao Hill Industries Limited na Unilever Lugoda vilivyopo wilaya ya Mufindi mkoani hapa.

Ujumbe huo ulijionea shughuli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lamadi watumia milioni 700/- miradi ya maendeleo

KATA ya Lamadi iliyopo katika Wilaya ya Busega mkoani Simiyu, imetumia sh 734,415,500 kati ya mwaka 2011 na 2014 kwa ajili ya shughuli mbalimbali za ujenzi wa miradi ya maendeleo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani