Ndaga watumia mil. 90/- miradi ya maendeleo
SERIKALI ya Kijiji cha Ndaga, Kata ya Isongole wilayani Rungwe mkoani Mbeya imetumia zaidi ya sh milioni 90 kujenga miradi ya maendeleo. Miongoni mwa miradi hiyo iliyotekelezwa kwa fedha zilizotokana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Lamadi watumia milioni 700/- miradi ya maendeleo
KATA ya Lamadi iliyopo katika Wilaya ya Busega mkoani Simiyu, imetumia sh 734,415,500 kati ya mwaka 2011 na 2014 kwa ajili ya shughuli mbalimbali za ujenzi wa miradi ya maendeleo....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0041.jpg)
ULEGA AKABIDHI MIL.3 NA MIFUKO YA SARUJI 140 KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4hlU3um542s/Xrv6oeDjl2I/AAAAAAALqEs/QUjoR8fdYL84Nt3--UpSTJsuhHjDCKoPACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vz8TUxr_N5k/Xrv6ogL-SSI/AAAAAAALqEw/Xw59A8vb0PYIO3IjqCak7sptYI3bIPWMACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0043.jpg)
Zoezi hilo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi mbalimbali alizozitoa mbunge Ulega kwenye miradi ya maendeleo.
Miradi iliyonufaika ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Lukanga saruji mifuko 50, ujenzi wa zahanati Yavayava saruji mifuko 50, ujenzi wa kivuko Churwi 30, ujenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Watumia milioni 400/- kugharamia miradi ya kijamii
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua kituo cha kisasa cha polisi kata ya Mang’onyi wilaya ya Ikungi kilichojengwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni 244 milioni.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Mang’onyi wilaya ya Ikungi kama sehemu ya uzinduzi wa mradi wa maji uliogharamiwa na kampuni ya utafiti na uchimbaji madini ya Shanta kwa gharama ya zaidi ya shilingi 126.8...
11 years ago
Bongo522 Jul
Kanye na Kim watumia tshs mil 835 kupata mtoto anayefanana na North West ili kujihami na mapaparazi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mil. 537/- zatumika miradi ya maji
SHILINGI mil. 537 zimetumika kukabiliana na tatizo la upungufu wa maji katika Kata ya Mlimba na Kamwene wilayani Kilombero, mkoani Morogoro. Akizungumza katika maadhimisho ya Wiki ya Maji katika Tarafa...
11 years ago
Habarileo26 Apr
SATF yachangia miradi ya elimu FPCT mil 11.7/-
JUMLA ya Sh milioni 11.7 zimetolewa na Shirika lisilo la kiserikali la Social Action Trust Fund (SATF) kwa asasi ya Free Pentecoste Church of Tanzania (FPCT) kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya elimu.
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Shirika la FU-DI kutumia zaidi ya Mil 90 kwa miradi ya nyuki
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI) lenye makazi yake Ikungi mkoa wa Singida, Jonathan Njau akimkaribisha ofisini kwake rais wa shirikisho la wafuga nyuki duniani, Gilles Ratia.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WAKAZI wa jimbo la Singida mashariki,wamehimizwa kujiunga/kuanzisha vikundi na kuvisajili,ili kujijengea mazingira mazuri ya kunufaika na misaada mbalimbali inayotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI)...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10