SATF yachangia miradi ya elimu FPCT mil 11.7/-
JUMLA ya Sh milioni 11.7 zimetolewa na Shirika lisilo la kiserikali la Social Action Trust Fund (SATF) kwa asasi ya Free Pentecoste Church of Tanzania (FPCT) kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya elimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Dec
TPSF yachangia mil.20/- wabunge wanawake
TAASISI ya sekta binafsi Tanzania (TPSF) jana ilichangia Sh milioni 19.5 kuwasaidia wabunge wanawake wa majimbo kisiasa na kiuchumi.
10 years ago
Habarileo08 Mar
Japan yachangia mil 160/- shule ya msingi Kakuni
SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa dola za Marekani 90,286 sawa na Sh milioni 160/- kusaidia ujenzi wa shule ya awali kwenye shule ya msingi Kakuni, iliyopo kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoa wa Katavi.
9 years ago
StarTV27 Aug
Ukosefu wa elimu ya udhibiti yachangia ajali za barabarani
Ukosefu wa elimu juu ya makosa ya kibinadamu kwa madereva wa mabasi ya abiria umebainika kuwa miongoni mwa sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa ajali za barabarani nchini.
Kutokana na hali hiyo, mamlaka ya udhibiti usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA imeanzisha mfumo wa kutoa elimu ikiwa ni njia mbadala ya kudhibiti ajali hizo.
Madereva wengi wameitika mwito wa kupatiwa elimu katika semina maalumu ya kutegua kitendawili cha ajali nchini.
Shabani Wandibha ambaye ni makamu mwenyekiti wa...
10 years ago
StarTV15 Apr
Elimu ulipaji kodi yachangia migomo wafanyabiashara.
Na Zephania Renatus,
Kilimanjaro.
Ukosefu wa elimu juu ya sheria ya ulipaji kodi kwa wafanyabiashara ni miongoni mwa sababu zinazotajwa kusababisha migomo ya mara kwa mara ya wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama amesema hayo mjini Moshi katika mkutano na wafanyabiashara na uongozi wa Mamlaka ya Mapato TRA mkoani humo uliolenga kujadili kero mbalimbali zinazowakabili wafanyabiashara.
Miongoni mwa changamoto zinazowakabili...
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mil. 537/- zatumika miradi ya maji
SHILINGI mil. 537 zimetumika kukabiliana na tatizo la upungufu wa maji katika Kata ya Mlimba na Kamwene wilayani Kilombero, mkoani Morogoro. Akizungumza katika maadhimisho ya Wiki ya Maji katika Tarafa...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Ndaga watumia mil. 90/- miradi ya maendeleo
SERIKALI ya Kijiji cha Ndaga, Kata ya Isongole wilayani Rungwe mkoani Mbeya imetumia zaidi ya sh milioni 90 kujenga miradi ya maendeleo. Miongoni mwa miradi hiyo iliyotekelezwa kwa fedha zilizotokana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DmiXLrKF4Lg/VD2AZI-ukCI/AAAAAAAGqg0/0bmxLjkTMjE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MUHEZA KUPATA MIL 500 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI
Mhe. Makalla alitoa kauli hiyo leo, alipotembelea Wilaya hiyo kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na hali ya huduma ya maji wilayani humo.
“Nawapongeza sana Halmashauri yenu na uongozi wake kwa kununua mashine kwa ajili ya kuchimba visima vya maji, sijawahi kutembelea Wilaya yoyote nchini nikakuta jambo hili. Kitendo cha Halmashauri kukusanya...
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Shirika la FU-DI kutumia zaidi ya Mil 90 kwa miradi ya nyuki
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI) lenye makazi yake Ikungi mkoa wa Singida, Jonathan Njau akimkaribisha ofisini kwake rais wa shirikisho la wafuga nyuki duniani, Gilles Ratia.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WAKAZI wa jimbo la Singida mashariki,wamehimizwa kujiunga/kuanzisha vikundi na kuvisajili,ili kujijengea mazingira mazuri ya kunufaika na misaada mbalimbali inayotolewa na shirika lisilo la kiserikali la Future Development Initiatives (FU-DI)...
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Miradi miwili ya maji Wilaya ya Mkalama kutumia Sh799 mil