Japan yachangia mil 160/- shule ya msingi Kakuni
SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa dola za Marekani 90,286 sawa na Sh milioni 160/- kusaidia ujenzi wa shule ya awali kwenye shule ya msingi Kakuni, iliyopo kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoa wa Katavi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Japan yachangia sh. milioni 160 shule ya msingi Kakuni
Kaimu Balozi wa Japan, Bw. Kazuyoshi Matsunaga akisoma risala fupi mbele ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) wakati wa hafla fupi ya utiaji saini mkataba wa msaada wa shilingi milioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Awali ya Kakuni wilayani Mlele Machi 6, 2015 kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
*Waziri Mkuu aomba Watanzania wamuunge mkono
SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa dola za Marekani 90,286 sawa na sh. milioni...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_0144.jpg)
JAPAN YACHANGIA SH. MILIONI 160 SHULE YA MSINGI KAKUNI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9Y1N-PLRYmU/VbOZdFLO-SI/AAAAAAAHry0/XDZN0F1Zk7k/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
WANANFUNZI WA SHULE YA MSINGI KAKUNI WAFANYA USAFI SHULENI KWAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-9Y1N-PLRYmU/VbOZdFLO-SI/AAAAAAAHry0/XDZN0F1Zk7k/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mign9fgeeXQ/VbOZd-je82I/AAAAAAAHry4/Zd6w9rmZfek/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Pinda aendelea kupokea misaada ya vifaa mbalimbali kusaidia shule mpya ya msingi Kakuni Mkoani Katavi
Mwakilishi wa Kampuni ya HUAWEI nchini Tanzania Bw. Jimmy Liguo Jin (kushoto) akimkabidhi Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda sehemu ya msaada wa kompyuta mpakato zilizotolewa na kampuni hiyo kusaidia wanafunzi wa shule mpya ya Msingi ya Kakuni iliyo katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi leo jijini Dar es salaam. Shule hiyo ya kisasa imeanzishwa kufuatia wazo la Wazo la Waziri Mkuu, Mhe.Mizengo Pinda la kuwa na shule Bora na ya kisasa katika kijiji hicho na inajengwa kupitia michango na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-QlFeShnLU/VfwO40bnW9I/AAAAAAAH510/NZaohcqfnSk/s72-c/PM%2B-1.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA KUPOKEA MISAADA YA VIFAA MBALIMBALI KUSAIDIA SHULE MPYA YA MSINGI KAKUNI MKOANI KATAVI
Pinda amepokea misaada hiyo kutoka Kampuni hizo kwa lengo la kuzindua mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni katika kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi.
Shule ya Msingi Kakuni iliyopo kijiji cha Kibaoni Mkoani Katavi ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu huyo Mhe,Mizengo Pinda.
Mradi huo wa...
10 years ago
Habarileo03 Dec
TPSF yachangia mil.20/- wabunge wanawake
TAASISI ya sekta binafsi Tanzania (TPSF) jana ilichangia Sh milioni 19.5 kuwasaidia wabunge wanawake wa majimbo kisiasa na kiuchumi.
11 years ago
Habarileo26 Apr
SATF yachangia miradi ya elimu FPCT mil 11.7/-
JUMLA ya Sh milioni 11.7 zimetolewa na Shirika lisilo la kiserikali la Social Action Trust Fund (SATF) kwa asasi ya Free Pentecoste Church of Tanzania (FPCT) kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya elimu.
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
Habarileo04 Dec
PSPF yachangia mabati kukarabati shule Masasi
MFUKO wa Pensheni wa PSPF umetoa msaada wa mabati 100 yenye thamani ya Sh milioni 2 kwa Shule ya Sekondari Lukuledi wilayani Masasi, kwa ajili ya kuboresha miundombinu iliyo chakavu shuleni hapo.