Waziri Mkuu ataka uamuzi wa Mahakama uheshimiwe Kiteto
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameagiza wote waliovamia eneo la Hifadhi ya Jamii ya Emborey ya Murtangos, kuondoka ili kuheshimu uamuzi wa mahakama ya rufani na akaagiza waliohusika na mauaji ya watu 15 kusakwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oaTrVdosLis/XqqXG5lkWSI/AAAAAAALon0/gp5nU_2J1DwqRooEOdvcCHLO06-MORe0QCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YATOA UAMUZI RUFAA YA MKUU WA WILAYA YA CHEMBA
Uamuzi huo umetolewa leo Aprili 29, 2020 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Glory Nkwera ambaye amekazia hukumu hiyo na kumtaka Odunga kutoa kiasi hicho cha fedha Kama ilivyoamuliwa na mahakama ya mwanzo ya Ukonga...
11 years ago
Habarileo28 Jul
Askofu ataka ushauri wa Rais uheshimiwe
WATANZANIA wameshauriwa kuendelea kuheshimu hadhi na mamlaka aliyonayo Rais wa Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania, Jakaya Kikwete, kwa kuthamini na kuzingatia mwongozo na ushauri mbalimbali anaoutoa kwa wananchi, kwani mamlaka hayo yanatoka kwa Mungu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0jvxFfaYQeY/UwJKWyXChiI/AAAAAAAFNo0/2kw_G8dwI2k/s72-c/images.jpg)
Naibu mwanasheria mkuu aomba mahakama kuu itupilie mbali kesi ya kikatiba dhidi ya waziri mkuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-0jvxFfaYQeY/UwJKWyXChiI/AAAAAAAFNo0/2kw_G8dwI2k/s1600/images.jpg)
George Masaju (pichani) amedai mahakamani katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kwa mujibu wa katiba mamlaka ya mahakama kuingilia mwenendo wa bunge yameondolewa.
Pia, Mhe Masaju amedai kuwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi bunge halina mamlaka ya kuingilia mwenendo wa mahakama na kwamba kesi iliyopo mahakamani haina mashiko ya kisheria mahakama...
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Mahakama yamtimua waziri mkuu wa Libya
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Waziri mkuu Ugiriki ataka aungwe mkono
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jmZR2kKswpQ/VdM8N6ic9qI/AAAAAAAHyBk/6tgDcn-QhHw/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU ATAKA SADC IWABANE WANACHAMA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-jmZR2kKswpQ/VdM8N6ic9qI/AAAAAAAHyBk/6tgDcn-QhHw/s1600/images.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Agosti 18, 2015), wakati akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kumaliza mkutano wa 35 wa wakuu wa nchi za...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Waziri Mkuu ataka zoezi la usafi liwe endelevu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisafisha mtaro wa maji machafu kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam Desemba 9, 2015. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Meck Sadiki.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akielekea eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akitoka eneo la shimoni kwenye soko kuu la Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond...