Kiongozi CNDD-FDD asakwa Burundi
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
SERIKALI ya Burundi imetangaza msako dhidi ya mwenyekiti wa zamani wa chama tawala cha CNDD-FDD nchini Burundi, Hussein Rajabu, kwa kutoweka jela pamoja na mkuu wa gereza la Mpimba.
Msemaji wa Serikali, Liboire Bakundukize, alisema jana kuwa msako dhidi ya watu hao umeanza.
“Serikali inamsaka Hussein na wale wote waliomsaidia kutoroka gerezani waweze kufunguliwa mashtaka mara moja,” alisema Bakundukize katika taarifa yake.
Pamoja na kutolewa taarifa hiyo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI

Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.
Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...
10 years ago
BBCSwahili24 May
Kiongozi wa upinzani auawa Burundi
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kiongozi wa upinzani atekwa nyara Burundi
10 years ago
GPL
KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI BURUNDI AUAWA
10 years ago
Mwananchi25 May
TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani
11 years ago
GPL
MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI
11 years ago
Michuzi
MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI

11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Yanukovich asakwa Ukraine