Mjukuu wa Mandela matatani
Mjukuu wa hayati Nelson Mandela, Mandla Mandela , ameshitakiwa kwa kosa la kumshambulia mtu na kumtisha kwa bunduki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNP1GG2OvBl-pZqIy0qkKxdJ3wlxpfqYP0c1icsr3cWCZJWf6zRj3ESLYhv9R4BrKYxNO2A0rbr3rQmXFs6wOZGS/MO7A0208.jpg?width=650)
MJUKUU WA MANDELA KUFUNGWA, AU KULIPA FAINI
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Mjukuu wa hayati mzee Mandela ahukumiwa
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-op-SmFqC_Is/Uu15TnrnEUI/AAAAAAAFKI4/FukY_iOi1Rw/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Mjukuu wa Mandela aeleza babu yake alivyomfunda
![](http://1.bp.blogspot.com/-op-SmFqC_Is/Uu15TnrnEUI/AAAAAAAFKI4/FukY_iOi1Rw/s1600/unnamed+(68).jpg)
Nelson Mandela, ametutoka lakini uwepo wake utaendelea kuwa dhahiri . Hilo limedhihirika baada ya mjukuu wake Ndaba Mandela kuzindua kampeni ya Linda Lango iliyoko chini ya shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi UNAIDS ambapo Ndaba ni msemji wa kampeni hiyo inayotumia michezo kuhamasisha jamii hususani vijana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Ndaba anaanza kwa kujibu swali kwanini...
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Watanzania, majuto ni mjukuu!
UKIWAANGALIA Watanzania wa leo utaona kwenye fikra zao, nyuso zao na hisia zao utaona wazi kabisa kuwa iko kiu ya mabadiliko. Watu wanataka mabadiliko wamechoka na mazoea waliokuwa nayo na ambayo yanaendelea kuwafanya wawe dhalili.
Kila mtu anatamani mambo yaache kuwa na hali ilivyo sasa, anatamani yachukue mkondo mpya na njia mbadala ambayo inaweza kuwa na matumaini. Katika hali hii unatarajia kuwa wao ndiyo wawe chemichemi na chachu ya mbadiliko.
Bahati mbaya kwetu ni kwamba,...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Babu ambaka mjukuu wake
MTOTO wa miaka saba wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mkata wilayani Handeni, Tanga amebakwa na babu yake na kumsababishia maumivu makali na kumwagika damu nyingi. Tukio hilo...
9 years ago
Vijimambo17 Aug
Mjukuu wa Morgan freeman auwawa
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/08/17/150817094443_morgan_freeman_549x549__nocredit.jpg)
Mjukuu wa kambo wa nyota wa filamu nchini Marekani Morgan Freeman amedungwa kisu hadi kufa karibu na nyumbani kwake huko New York.
E'Dena Hines alipatikana akiwa na majeraha ya kisu kifuani nje ya nyumba yake katika barabara ya West 162 mapema siku ya jumapili.
Marehemu mwenye umri wa miaka 33 alichukuliwa na ambulansi lakini akatangazwa amefariki katika hospitali ya Harlem.
Lamar Davenport mwenye umri wa miaka 30 kutoka mjini New York alishtakiwa kwa makosa...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Babu alawiti mjukuu wa kike
POLISI wilayani Masasi mkoani Mtwara inamshikilia mkazi wa kijiji cha Maili Sita kata ya Mtandi, Daudi Pilipili (44) kwa tuhuma za kumlawiti mjukuu wake wa kike mwenye umri wa 13.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND2t5uNBV*404bfUZooBJyJalotSTNkJm2HSnE4MNowFUckRwS99KCzVSWW0FxOpYvWp-K5Ce2PQ6kZ6CcI0TTYn/MJUKUU.jpg)
WAMSULUBU MJUKUU, WATIWA MBARONI