Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nandi Mandela asimulia babu yake

Anasema babu yake aliwashirikisha kwa kila kitu alichokuwa nacho na alihudumia familia yake, ambayo ilikuwa na ndugu wa mbali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mjukuu wa Mandela aeleza babu yake alivyomfunda

Wakati wa mahojiano kati ya Ndaba Mandela na Joseph Msami wa Idhaa hii
Nelson Mandela, ametutoka lakini uwepo wake utaendelea kuwa dhahiri . Hilo limedhihirika baada ya mjukuu wake Ndaba Mandela kuzindua kampeni ya Linda Lango iliyoko chini ya shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi UNAIDS ambapo Ndaba ni msemji wa kampeni hiyo inayotumia michezo kuhamasisha jamii hususani vijana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Ndaba anaanza kwa kujibu swali kwanini...

 

11 years ago

Habarileo

Aliyemuona Mandela dakika 90 kabla ya kifo asimulia

DAKIKA za mwisho za maisha yake, Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, hakuwa akitumia mashine ya kumsaidia kupumua.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ali Kiba asimulia maisha yake ya usanii

Ali Kiba ni miongoni mwa wasanii maarufu sana kutoka Tanzania ambaye amewika si nchini humo tu bali Afrika Mashariki na nje ya mipaka ya Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamume mweye jinsi mbili asimulia maisha yake

Mwanamume mwenye jinsi mbili, amezungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na kusema kama wazazi wake wangemshauri kuhusu hali hiyo, asingeogopa kujitambulisha ulimwenguni.

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol asimulia ‘aibu’ aliyoipata kwenye show yake ya kwanza kutumbuiza!

Kila msanii unayemfahamu ana show moja ama mbili alizowahi kuzifanya lakini zikawa mbaya kiasi ambacho hawezi kuisahau. Akiongea kwenye kipindi cha Kili Chat kinachorushwa kila Alhamis kupitia EATV, Ben Pol alisema show yake mbaya zaidi kuifanya ni ile ya kwanza kabisa kuwahi kufanya wakati huo akiwa na wimbo uliomtambulisha, ‘Nikikupata’. “Nafikiri pia sababu ya ugeni […]

 

10 years ago

Mtanzania

Babu Tale afiwa na baba yake mzazi

babu taleBABA mzazi wa Babu Tale ambaye ni meneja wa Abdul Nassib ‘Diamond’, amefariki dunia mchana wa jana Manzese jijini Dar es Salaam.
Kifo hicho kimetokea ikiwa ni miezi kadhaa tu tangu kaka wa Babu Tale, Abdu Bonge kufariki dunia.
Msanii wa kundi hilo, Madee alithibitisha kutokea kwa kifo hicho huku akieleza kwamba msiba utakuwa nyumbani kwao Manzese ambako palifanyika msiba wa Abdu Bonge.
“Ni kweli baba wa Abdu Bonge amefariki leo (jana) na msiba upo Manzese jijini Dar es Salaam ila chanzo cha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk. Magufuli azuru makaburi ya Babu na Bibi yake, Katoma — Geita Vijijini

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kwa Tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akielekea katika makaburi ya makaburi ya babu na bibi yake mzaa wa baba, eneo la Katoma, wilayani Geita Vijijini huku akiwa ameambatana na ndugu zake ikiwemo baba zake wadogo na mama zake wadogo. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kwa Tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, akiwa katika makaburi ya babu na bibi yake mzaa wa baba, eneo la Katoma, wilayani Geita Vijijini akiwatambulisha ndugu zake ikiwemo baba yake...

 

11 years ago

Mwananchi

Nandi: Tata ametufundisha kuheshimu watu wote

Mjukuu wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Nandi Mandela ameungana na waombolezaji wengine, akieleza kwamba babu yake atakumbukwa kama alama na kielelezo cha kujali utu na uwajibikaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mandela atazikwa na mema yake aliyotufundisha?

SASA ni hakika kwamba mtu mashuhuri zaidi Afrika amefariki. Nelson Mandela amefariki na atazikwa leo. Ni kama dunia imetikisika. Viongozi wa Afrika nao wameonekana wakihuzunika na wameongea kwa masikitiko. Mandela...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani