Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mandela atazikwa na mema yake aliyotufundisha?

SASA ni hakika kwamba mtu mashuhuri zaidi Afrika amefariki. Nelson Mandela amefariki na atazikwa leo. Ni kama dunia imetikisika. Viongozi wa Afrika nao wameonekana wakihuzunika na wameongea kwa masikitiko. Mandela...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbeki: Msiache kuenzi mema ya Mandela

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amejitokeza hadharani kwa mara ya kwanza tangu taifa likumbwe na msiba mzito wa kifo cha Nelson Mandela na kuzungumzia umahiri wa kiongozi huyo.

 

10 years ago

Bongo5

Kitale afiwa na baba yake, atazikwa leo Kilosa, Morogoro

Msanii wa vichekesho, Kitale jana amefiwa na baba yake mzazi na mazishi yatafanyika leo Kilosa mkoani Morogoro. Kitale Mussa Akizungumza na Bongo5 leo, Kitale amesema kuwa baba yake amepatwa na umauti jana baada ya kuugua kwa muda mrefu. “Tunashuru Mungu leo saa 7 mchana tunazika pale Kilosa, baba alikuwa anaumwa kwa muda mrefu,” alisema Kitale.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nandi Mandela asimulia babu yake

Anasema babu yake aliwashirikisha kwa kila kitu alichokuwa nacho na alihudumia familia yake, ambayo ilikuwa na ndugu wa mbali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je, mfalme wa miondoko ya soukouss atazikwa Congo?

Mfalme wa soukouss, Aurlus Mabelé , mwanamziki wa kongo brazaville afariki duniani baada ya kuambukizwa na virusi vya korona huko nchini ufaransa

 

11 years ago

Mwananchi

Graca, Winnie Mandela ni mtu na ‘dada yake’

Winnie Madikizela-Mandela, (77) aliinama kumbusu Graca Machel (68), kabla ya kukaa katika kiti cha tatu kutoka kile alichokalia mwanamke huyo. Graca Machel alimwambia maneno machache ‘dada yake’ Winnie wakati akimbusu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mke wa zamani wa Mandela adai mali yake

Mke wa zamani wa hayati Nelson Mandela, anataka watoto wake wapewe nyumba ya marehemu iliyoko kijijini Qunu

 

11 years ago

Michuzi

Mjukuu wa Mandela aeleza babu yake alivyomfunda

Wakati wa mahojiano kati ya Ndaba Mandela na Joseph Msami wa Idhaa hii
Nelson Mandela, ametutoka lakini uwepo wake utaendelea kuwa dhahiri . Hilo limedhihirika baada ya mjukuu wake Ndaba Mandela kuzindua kampeni ya Linda Lango iliyoko chini ya shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi UNAIDS ambapo Ndaba ni msemji wa kampeni hiyo inayotumia michezo kuhamasisha jamii hususani vijana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Ndaba anaanza kwa kujibu swali kwanini...

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Watanzania wananitakia mema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema Watanzania wanajua uwajibikaji wa kila mwanasiasa ndani na nje ya Bunge. Ngeleja, alitoa kauli hiyo juzi mara baada ya kumaliza kuwasilisha maoni ya kamati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani