Mandela atazikwa na mema yake aliyotufundisha?
SASA ni hakika kwamba mtu mashuhuri zaidi Afrika amefariki. Nelson Mandela amefariki na atazikwa leo. Ni kama dunia imetikisika. Viongozi wa Afrika nao wameonekana wakihuzunika na wameongea kwa masikitiko. Mandela...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mbeki: Msiache kuenzi mema ya Mandela
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amejitokeza hadharani kwa mara ya kwanza tangu taifa likumbwe na msiba mzito wa kifo cha Nelson Mandela na kuzungumzia umahiri wa kiongozi huyo.
10 years ago
Bongo501 Dec
Kitale afiwa na baba yake, atazikwa leo Kilosa, Morogoro
Msanii wa vichekesho, Kitale jana amefiwa na baba yake mzazi na mazishi yatafanyika leo Kilosa mkoani Morogoro. Kitale Mussa Akizungumza na Bongo5 leo, Kitale amesema kuwa baba yake amepatwa na umauti jana baada ya kuugua kwa muda mrefu. “Tunashuru Mungu leo saa 7 mchana tunazika pale Kilosa, baba alikuwa anaumwa kwa muda mrefu,” alisema Kitale.
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Nandi Mandela asimulia babu yake
Anasema babu yake aliwashirikisha kwa kila kitu alichokuwa nacho na alihudumia familia yake, ambayo ilikuwa na ndugu wa mbali.
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Coronavirus: Je, mfalme wa miondoko ya soukouss atazikwa Congo?
Mfalme wa soukouss, Aurlus Mabelé , mwanamziki wa kongo brazaville afariki duniani baada ya kuambukizwa na virusi vya korona huko nchini ufaransa
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Graca, Winnie Mandela ni mtu na ‘dada yake’
Winnie Madikizela-Mandela, (77) aliinama kumbusu Graca Machel (68), kabla ya kukaa katika kiti cha tatu kutoka kile alichokalia mwanamke huyo. Graca Machel alimwambia maneno machache ‘dada yake’ Winnie wakati akimbusu.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Mke wa zamani wa Mandela adai mali yake
Mke wa zamani wa hayati Nelson Mandela, anataka watoto wake wapewe nyumba ya marehemu iliyoko kijijini Qunu
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-op-SmFqC_Is/Uu15TnrnEUI/AAAAAAAFKI4/FukY_iOi1Rw/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Mjukuu wa Mandela aeleza babu yake alivyomfunda
![](http://1.bp.blogspot.com/-op-SmFqC_Is/Uu15TnrnEUI/AAAAAAAFKI4/FukY_iOi1Rw/s1600/unnamed+(68).jpg)
Nelson Mandela, ametutoka lakini uwepo wake utaendelea kuwa dhahiri . Hilo limedhihirika baada ya mjukuu wake Ndaba Mandela kuzindua kampeni ya Linda Lango iliyoko chini ya shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi UNAIDS ambapo Ndaba ni msemji wa kampeni hiyo inayotumia michezo kuhamasisha jamii hususani vijana.
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Ndaba anaanza kwa kujibu swali kwanini...
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba
Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Ngeleja: Watanzania wananitakia mema
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema Watanzania wanajua uwajibikaji wa kila mwanasiasa ndani na nje ya Bunge. Ngeleja, alitoa kauli hiyo juzi mara baada ya kumaliza kuwasilisha maoni ya kamati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania