Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja: Watanzania wananitakia mema

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema Watanzania wanajua uwajibikaji wa kila mwanasiasa ndani na nje ya Bunge. Ngeleja, alitoa kauli hiyo juzi mara baada ya kumaliza kuwasilisha maoni ya kamati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

UNESCO yaibashiria mema Tanzania

RIPOTI mpya ya utafiti wa  Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), iliyofanyika chini ya taasisi yake ya Takwimu (UIS), imebainisha kuwa Tanzania ni  miongoni mwa nchi  kumi duniani...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeki: Msiache kuenzi mema ya Mandela

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki amejitokeza hadharani kwa mara ya kwanza tangu taifa likumbwe na msiba mzito wa kifo cha Nelson Mandela na kuzungumzia umahiri wa kiongozi huyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mandela atazikwa na mema yake aliyotufundisha?

SASA ni hakika kwamba mtu mashuhuri zaidi Afrika amefariki. Nelson Mandela amefariki na atazikwa leo. Ni kama dunia imetikisika. Viongozi wa Afrika nao wameonekana wakihuzunika na wameongea kwa masikitiko. Mandela...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Waleeni watoto katika maadili mema’

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Titus Mdoe, amewataka waumini wa kanisa hilo kuwalea watoto katika maadili yanayompendeza Mungu ili waweze kupata viongozi bora watakaosimamia haki...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjengee msingi wa maadili mema mwanao

Ulezi wa watoto ni jambo linalohitaji umakini mkubwa. Kimsingi akili ya mtoto ni kama karatasi nyeupe isiyo na maandishi. Hivyo kwake ni rahisi kunasa vitu vingi kwa wakati mmoja. Jambo hili linatakiwa kueleweka vizuri kwa wazazi na walezi wengi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muhongo haitakii mema nchi — Mengi

MWENYEKITI wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amemshambulia tena Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, akidai kuwa haitakii mema nchi kutokana na kugawa vitalu vyote 27 vya gesi...

 

11 years ago

Mwananchi

Tunawatakia maadhimisho mema ya Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar

Leo Januari 12, Wazanzibari wanaadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi. Mengi yametokea, mengi yametendeka, lakini kubwa zaidi ni kuwa Wazanzibari wamebaki Wazanzibari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wazazi leeni watoto katika maadili mema’

MSAIDIZI Mkuu wa mahabusu ya watoto iliyopo Upanga, Dar es Salaam, Magreth Minja, amewataka wazazi kuwalea watoto katika maadili mema ili kuepukana na vitendo viovu. Amesema kwa sasa vitendo vya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wito watolewa wazazi kuwajengea maadili mema watoto

DSC01148

Diwani wa kata ya Issuna  wilaya ya Ikungi,Stephano Misai,akizungumza kwenye mahafali ya kwanza ya darasa la saba  shule ya msingi Unyahati iliyopo kijiji cha Muungano .Mgeni rasmi huyo amezitaka shule za msingi na sekondari zenye bahati ya kuwa karibu na huduma ya umeme, kuweka nishati hiyo kwa ajili ya wanafunzi kujifunza kompyuta. Wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni Chiku Alli raia wa Norway aliyekusanya fedha kutoka kwa raia wa Norway na kugharamia ujenzi wa shule ya Unyahati. Kulia ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani